TAHADHARI: WATUMIAJI WA TELEVISHENI ZA PHILIPS WAKO HATARINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BInnCQQQqgQ/U2Nczijn-sI/AAAAAAAAAdg/0GakbsNLRho/s72-c/1.jpg)
Ni ukweli matumizi ya mtandao ni swala lisilo epukika katika kufanya mambo mbali mbali ya kila siku ikiwa ni pamoja na kufanya miamala ya biashara, mawasiliano, kuhabarisha na mengineyo.Taarifa ya awali niliyo iandikia kuhusiana na ukuwaji wa matumizi mtandao na athari zinazoendelea kukua inaweza kusomeka hapa “TANZANIA NA HALI YA USALAMA MTANDAO” taarifa iliyo weza kusomwa na kituo cha radio cha “CLOUDS FM” na kuandikwa kirefu kupitia “MWANANCHI”
Tishio jingene jipya la kiusalama...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-TFbMorHU4_c/U19FZkNtAlI/AAAAAAAAAdA/uaAaJBOAIC0/s72-c/images.jpg)
TAHADHARI: WATUMIAJI WA "INTERNET EXPLORER" WAKO HATARINI KIUSALAMA MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TFbMorHU4_c/U19FZkNtAlI/AAAAAAAAAdA/uaAaJBOAIC0/s1600/images.jpg)
Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la sita (6) hadi la kumi na moja (11) yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MxiwEdY-mAE/U19PJeLxleI/AAAAAAAFd38/1vVmYXvSIfE/s72-c/Internet-Explorer.jpg)
TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA VIVINJARI VYA “INERNET EXPLORER”
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxiwEdY-mAE/U19PJeLxleI/AAAAAAAFd38/1vVmYXvSIfE/s1600/Internet-Explorer.jpg)
Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la 6 hadi la 11 yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa zozote zitakazo patikana...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
AI:Walemavu wako hatarini Somalia
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s72-c/HRT.jpg)
TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO
Wana mitandao kote duniani hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IzqztVBnvSQ/U0nbKS73FeI/AAAAAAAAAU4/-k4y8LULBVw/s1600/HRT.jpg)
“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili kutoonekana kirahisi, ila baada ya...
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
mamilioni wako hatarini kupata malale
9 years ago
VijimamboTAHADHARI KWA WATUMIAJI WA BARABARA YA LUPA ENEO LA NJIA PANDA ISANGA JIJINI MBEYA
11 years ago
BBCSwahili19 May
Tahadhari usalama wako
11 years ago
Mwananchi30 May
Wasiovuta sigara Tanzania wako hatarini kuathirika na tumbaku
9 years ago
StarTV23 Sep
Wenye shughuli za kuhamahama wako hatarini zaidi kupata VVU:
Utafiti ulioendeshwa na Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na usafirishaji haramu wa binadamu IOM kwa ushirikiano na Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC unaonesha kuwa jamii kubwa inayofanya shughuli za kiuchumi kwenye maeneo ya bandari iko kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa UKIMWI kutokana na kutokuwepo kwa mtandao unaotoa elimu ya kupambana na ugonjwa huo kwenye mazingira yao.
Taarifa hiyo inasema, elimu juu ya matumizi ya kinga bado ni changamoto kwa jamii hiyo hivyo wengi...