Tahadhari:Ugomvi unaathiri afya yako
Ugomvi wa mara kwa mara baina ya wapenzi, marafiki ama hata jamii unaongeza hatari ya kufa kwa watu wenye umri wa makamo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Dec
TAHADHARI: Dawa za ‘kutibu meno bila kung’oa,’ zinaathiri afya
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Funguo nne za ulinzi wa afya yako
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Hasira ni hasara kwa afya yako
11 years ago
Michuzi
KUPUNGUZA UZITO KWA AFYA YAKO

CLEAN 9 ni nini na ina nini??
Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera Gel chupa 3, Ultra Lite, Bee pollen na Garcinia. Pia ina tape measure pamoja na chupa ya kupimia)
Ina kitabu cha muongozo wa jinsi ya kutumia.CLEAN 9 ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusaidia mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa mfumo bora wa ulaji chakula.
Matumizi yake ni rahisi sana. Tumia bidhaa kwa usahihi kisha utahitaji...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mlo wako ni tafsiri ya ubora wa afya yako
11 years ago
BBCSwahili14 May
Mvinyo haina manufaa kwa Afya yako
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR]....
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mambo unayoweza kuyafanya kuboresha afya yako 2016
HERI YA MWAKA MPYA! Ni kawaida mtu kujiwekea malengo yake kila unapoanza mwaka, lakini kupitia kona hii ya masuala ya afya, napenda kushea na wewe mambo kadhaa unayoweza kuazimia na kuyafanya mwaka huu na kuboresha afya yako.
Elewa kwamba afya yako iko mikononi mwako, tabia ya maisha unayoishi ndiyo inayoamua afya yako iweje. Chakula unachokula ndicho kinachoamua mustakabali wa afya yako. Kama ulikuwa unayafanya haya, azimia kubadilika mwaka huu:
ACHA SODA
Unene wa kupita kiasi, kisukari,...
5 years ago
MichuziWaziri wa Afya Zanzibar awataka wananchi kuchukuwa Tahadhari zaidi kukabiliana na Maradhi ya Corona
Na Ramadhani Ali – Maelezo
Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zaidi ya kinga katika kukabiliana na maradhi ya Corona ikiwemo kupunguza mikusanyiko na safari zisizokuwa za lazima.
Waziri Afya Hamad Rashid Mohamed alieleza hayo alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu hatua mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali kukabiliana na maradhi hayo.
Alisema ni vyema wananchi ambao hawana ulazima wakutoka, kubaki majumbani mwao na kujenga tabia ya...