Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari:Ugomvi unaathiri afya yako

Ugomvi wa mara kwa mara baina ya wapenzi, marafiki ama hata jamii unaongeza hatari ya kufa kwa watu wenye umri wa makamo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TAHADHARI: Dawa za ‘kutibu meno bila kung’oa,’ zinaathiri afya

Matatizo katika afya ya kinywa na meno yamekuwa changamoto kwa watu wengi si tu nchini bali sehemu mbalimbali ulimwenguni.

 

9 years ago

Mwananchi

Funguo nne za ulinzi wa afya yako

Ili mtu awe na afya nzuri, anahitaji chakula chenye lishe bora. Mtu anahitaji kula vyakula vya kujenga mwili, kuupa mwili nguvu na kulinda mwili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hasira ni hasara kwa afya yako

Je unajua kama hasira inaweza kukusababishia mshtuko wa moyo au kiharusi?

 

11 years ago

Michuzi

KUPUNGUZA UZITO KWA AFYA YAKO


CLEAN 9 ni nini na ina nini??
Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera Gel chupa 3, Ultra Lite, Bee pollen na Garcinia. Pia ina tape measure pamoja na chupa ya kupimia)
Ina kitabu cha muongozo wa jinsi ya kutumia.CLEAN 9 ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusaidia mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa mfumo bora wa ulaji chakula.
Matumizi yake ni rahisi sana. Tumia bidhaa kwa usahihi kisha utahitaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Mlo wako ni tafsiri ya ubora wa afya yako

>Mke wa Rais Mama Salma Kikwete,  ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) amekuwa na mwonekanano wa tofauti kwa sasa; amepunguza mwili wake kwa kiasi fulani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mvinyo haina manufaa kwa Afya yako

Watafiti wanadai kuwa mvinyo mwekundu (Red wine) hauna manufaa kama ilivyodhaniwa kuwa nayo kwa moyo wa binadamu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.

KIPINDUWMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake.

KIPINDUZMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar 

[ZANZIBAR]....

 

9 years ago

Global Publishers

Mambo unayoweza kuyafanya kuboresha afya yako 2016

fitHERI YA MWAKA MPYA! Ni kawaida mtu kujiwekea malengo yake kila unapoanza mwaka, lakini kupitia kona hii ya masuala ya afya, napenda kushea na wewe mambo kadhaa unayoweza kuazimia na kuyafanya mwaka huu na kuboresha afya yako.

Elewa kwamba afya yako iko mikononi mwako, tabia ya maisha unayoishi ndiyo inayoamua afya yako iweje. Chakula unachokula ndicho kinachoamua mustakabali wa afya yako. Kama ulikuwa unayafanya haya, azimia kubadilika mwaka huu:

ACHA SODA
Unene wa kupita kiasi, kisukari,...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri wa Afya Zanzibar awataka wananchi kuchukuwa Tahadhari zaidi kukabiliana na Maradhi ya Corona


Na Ramadhani Ali – Maelezo                         


Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zaidi ya kinga katika kukabiliana na maradhi ya Corona ikiwemo kupunguza mikusanyiko na safari zisizokuwa za lazima.



Waziri Afya Hamad Rashid Mohamed alieleza hayo alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu hatua mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali kukabiliana na maradhi hayo.



Alisema ni vyema wananchi ambao hawana ulazima wakutoka, kubaki majumbani mwao na kujenga tabia ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani