Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa la Niger laomboleza mauaji

Baada ya kisa cha kulipuliwa kwa kijiji kimoja nchini Niger, sasa serikali ya nchi hiyo imetangaza siku tatu za maombolezi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya Albino; tumekuwa taifa la wajinga

KUNA andiko katika Biblia Takatifu lisemalo kuwa; watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hivi ndivyo jamii yetu inavyoangamia. Tunashindwa kufanyakazi na kujishughulisha ili kujikomboa kiuchumi lakini wapo baadhi ya wachache...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA, YAIGONGA PRISONS 5 - 0

Kikosi cha timu ya Yanga SC kilichoanza dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya leo. Kikosi cha Prisons kilichokula 5-0 leo taifa.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa linashuka thamani kwa mauaji ya albino

VITENDO vya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) vimekuwa vikipigiwa kelele kwa miaka mingi sasa lakini vinaoneka kukosa ufumbuzi. Mauaji ya watu hao wenye...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA: YAINYUKA JKT RUVU 5-1

Mrisho Ngasa (kulia) na Frank Domayo wakishangilia ushindi wa leo. Didier Kavumbagu wa Yanga akijaribu kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.…

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND PLATINUMZ,ZARI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA YA MAUAJI YA KIMBARI,RWANDA

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz na mpenzi wake Zari wametembelea Makumbusho ya taifa nchini Rwanda na kushuhudia mabaki ya miili ya mamia ya watu waliofariki kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Mauaji ya Kimbari.

 

10 years ago

Michuzi

GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime akifikishwa mahakamani wakati wa hatua za awali za kesi hiyo. ------------------------Na Mwene Said wa Globu ya Jamii MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta  mwenendo wa kesi ya mauaji iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini dhidi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, wanaohusishwa na kuporomoka kwa jingo la ghorofa 16 katika mtaa wa Indira Gandh na kuua watu 27...

 

5 years ago

Michuzi

MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA

Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo leo jijini Arusha.Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo. Pichani ni mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya binti wa kazi akiingizwa kwa hakimu mkazi mfawidhi Analia Mushi kutajwa kwa kesi yake huku akijifunika uso gubigubi kama...

 

5 years ago

CCM Blog

MAUAJI YA MMAREKANI MWEUSI: WAKILI AYAITA MAUAJI YALIYOPANGWA


Waandamanaji wakipiga magoti kusali katika viwanja vya Lafayette karibu na Ikulu ya Marekani mjini Washington DCHaki miliki ya pichaAFPImage captionWaandamanaji wakipiga magoti kusali katika viwanja vya Lafayette karibu na Ikulu ya Marekani mjini Washington DCWakili wa familia ya George Floyd, ambaye kifo chake kiliibua maandamano ya hasira kote nchini Marekani , amemshutumu afisa wa polisi kwa "kupanga mauaji".Polisi wa Minneapolis Derek Chauvin ameshitakiwa kwa mauaji , lakini wakili Benjamin Crump amekiambia kituo cha habari cha CBS news kuwa yalikuwa ni mauaji ya kiwango cha kwanza."Tunadhani...

 

10 years ago

BBC

Nomads in Niger

Infrared imagery of the Wodaabe and Tuareg communities

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani