Taifa linashuka thamani kwa mauaji ya albino
VITENDO vya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) vimekuwa vikipigiwa kelele kwa miaka mingi sasa lakini vinaoneka kukosa ufumbuzi. Mauaji ya watu hao wenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Mauaji ya Albino; tumekuwa taifa la wajinga
KUNA andiko katika Biblia Takatifu lisemalo kuwa; watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hivi ndivyo jamii yetu inavyoangamia. Tunashindwa kufanyakazi na kujishughulisha ili kujikomboa kiuchumi lakini wapo baadhi ya wachache...
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Mauaji ya Albino ni aibu kwa Tanzania
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Wagangambaroni kwa tuhuma za mauaji ya albino
Kadama Malunde, Shinyanga na Renatha Kipaka, Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limewatia mbaroni waganga wa tiba asilia 26 katika Wilaya za Kishapu, Shinyanga na Kahama o kupiga ramli za uchonganishi na kusababisha mauaji ya albino.
Akizungumza na wandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema operesheni ya kuwakamata waganga hao ilianza Machi mosi hadi Machi 9 mwaka huu, na baadhi ya waganga hao wamo wanaojihusisha na mauaji ya...
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Kigogo mbaroni kwa mauaji ya albino
NA PETER FABIAN, MWANZA
KIONGOZI wa chama kimoja cha siasa mkoani Mwanza (jina tunalo) anashikiliwa na Jeshi la Polisi akihusishwa na uhalifu wa utengenezaji wa noti bandia, utekaji na mauaji ya albino katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA kutoka vyanzo vyetu vya habari zimesema kuwa kigogo huyo alikamatwa wilayani Magu Februari 26, mwaka huu saa 7:00 usiku.
Kigogo huyo ambaye anadaiwa kuhusishwa na utekaji wa mauaji ya albino alikamatwa baada...
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
MichuziMSAMA AKABIDHI MILIONI MBILI KWA AJILI YA KUSIDIA MAPAMBANO DHIDI YA MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
GPLHONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA