TAKUKURU MANYARA YAOKOA MIGODINI 14 ISIFUTIWE LESENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-v9FszHrseJE/XqrVGHV4ctI/AAAAAAALorQ/yU12YsoFsEQS1wMFYvPjN9PcHvkDtxBywCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0028.jpg)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara, imewasaidia wamiliki wa migodi 14 wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro waliokuwa wafutiwe leseni zao kwa kudaiwa shilingi milioni 14.5 na Wizara ya Madini.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Takukuru mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu wamiliki hao 14 wa migodi walikuwa wanyang'anywe migodi hiyo kwa kutolipa ada za leseni zao.
Makungu alisema leseni hizo zilizopo kitalu B (Opec) zilikuwa zifutwe kwa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Aug
Takukuru yaokoa bilioni 38.9/-
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imeokoa zaidi ya Sh bilioni 38.9 zilizotarajiwa kuingia katika mikono ya wajanja wachache kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
TAKUKURU yaokoa mil 100/-
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeokoa zaidi ya sh milioni 100 zilizokuwa zimeibwa na watumishi wa halmashauri za wilaya mkoani Tabora kati ya Januari na Novemba mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3B2vnXFUywA/XpC2DFQic_I/AAAAAAALmvI/jNSWh2NbQ0UTqFFKKbJwe7hxKfE-EVqVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200410-WA0175.jpg)
TAKUKURU YAOKOA MILIONI 7 ZILIZODHULUMIWA
Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kurejesha fedha kiasi cha shilingi milioni saba laki tano na elfu tisini na mbili (7,592,000/= )kwa watumishi wa idara ya afya halmashauri ya siha,walinzi wa shamba la miti West Kilimanjaro na shule ya sekondari Magnifikacant na mama lishe Fatuma Athumani,zilizokuwa zimedhulumiwa na kufanyiwa ubadhirifu na watuhumiwa ambao ni mhasibu wa halmashauri na mlinzi mkuu wa shamba.
Zoezi la...
5 years ago
MichuziTAKUKURU ARUMERU YAOKOA MAMILIONI YA FEDHA ZA SACCOS
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha Frida Weresi akizungumza na waandishi wa habari juu ya chunguzi mbalimbali zinazohusiana na vyama vya ushirika AMCOS na SACCOS Mkoani Arusha.
Na.Vero Ignatus,Arusha
Taasisi ya kupambana na Rushwa mkoani Arusha Takukuru imeendelea kufanya chunguzi mbalimbali zinazohusiana na vyama vya Ushirika (AMCOS na SACCOS) kutokana na malalamiko wanayoyapokea kutoka katika vyanzo mbalimbali na ubadhirifu unaofanywa na baadhi ya viongozi na wanachana hivyo kupelekea baadhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAOKOA SH. MILIONI 46,500,000 ZA WALIMU WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh. 24,000,000/= Mwalimu Seleman Tyea Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mDyU6A0pbsQ/XossUeR9FjI/AAAAAAALmKc/uM7WO3j4uFASfsM4kU5FIDCuYyMhst-ygCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B12.13.01%2BPM.jpeg)
TAKUKURU DODOMA YAOKOA MILIONI 297 NA KUSAIDIA KUKAMILIKA MRADI WA MAJI UTAKAOHUDUMIA WANANCHI 5000
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDyU6A0pbsQ/XossUeR9FjI/AAAAAAALmKc/uM7WO3j4uFASfsM4kU5FIDCuYyMhst-ygCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B12.13.01%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma katika kufuatilia miradi ya maendeleo imewezesha mradi wa maji wa kijiji cha Mlongia wilayani Chemba kutoa maji na kuwafaidisha wananchi zaidi ya 5000 ambao awali hawakua na huduma ya maji.
Mradi huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EoW4SwwtKdk/XqFhILMKpxI/AAAAAAALn9A/rjXjI3EGoKUmHArbZ-xpgDkfS63GMajJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU Njombe yaokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kwenye chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS
Na Amiri kilagalila,Njombe
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Njombe imefanikiwa kuokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kutokana na chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS mkoani humo.
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Njombe Bi,Domina Mukama ameyasema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari-Machi 2020.
“Jumla ya SACCOS na AMCOS 85 katika mkoa wa Njombe zilikuwa zinachunguzwa 14 Makambako,6 Ludewa,19 Makete,13 Wanging’ombe,35 hapa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI AFISA BIASHARA SIMANJIRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s200/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu washtakiwa hao walisomewa mashtaka hayo na wakili wa TAKUKURU...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...