Takukuru wavamia, wasimamisha usaili Simba
![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNzBJftkAk51FN92G8Sg7UDaVOls6-8mWMHNPH9Vll3YLYvBpY04KZVa0ZgF6bRT75E37bahOzIrdWyzcLk*6X4U/SIMBA.jpg?width=650)
Na Waandishi Wetu MAMBO yamekuwa mambo, uchaguzi mkuu wa Klabu ya Simba unaotarajiwa kufanyika Juni 29, umeingia katika mtikisiko, kubwa ni baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) kuingilia kati na kukomba nyaraka za wagombea na namba za simu. Wakati hayo yakitokea upande wa pili ni kuwa aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura amewasilisha rufaa yake kwa Shirikisho...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Simba Mlele wavamia vijiji, wala mifugo
NG’OMBE 11 na mbuzi wanne wameuwa kisha kuliwa na simba katika matukio matatu tofauti yaliyotokea kwenye Tarafa ya Nsimbo wilayani Mlele mkoa wa Katavi baada ya simba watano kuvamia vijiji...
11 years ago
Mwananchi30 May
Takukuru sasa yatinga Simba
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Wanavijiji wasimamisha msafara wa Kinana
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi ulilazimika kusimama kwa dakika kadhaa baada ya wakazi wa baadhi ya vijiji vya Jimbo la Chemba, kuusimamisha.
Kusimama kwa msafara huo kulitokana na wakazi wa vijiji hivyo kusimama barabarani wakiwa na mabango yanayoelezea kilio cha kukosekana kwa maji.
Msafara huo wa Kinana ulikumbana na kadhia hiyo, ulipofika
katika vijiji vya Songoro, Goima, Itolwa, Mrijo na Jenjelusi, maeneo ambayo wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la maji...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cgWXyNbiAwE/VhRFAsQxcfI/AAAAAAAAErE/tSk11rxj3ck/s72-c/IMG_0004.jpg)
MAMA SAMIA SULUHU AWASILI KIGOMA, WANANCHI WASIMAMISHA SHUGHULI KUMLAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-cgWXyNbiAwE/VhRFAsQxcfI/AAAAAAAAErE/tSk11rxj3ck/s640/IMG_0004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mJOehGJnw_M/VhRFDyRV6fI/AAAAAAAAErQ/Ju4fddss-bU/s640/IMG_0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iz-sg6Y64lY/VhRFHP7bKyI/AAAAAAAAEr4/NCqr4J65_FI/s640/IMG_0116.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YH20EHVd6fs/VhRFFBJ0cNI/AAAAAAAAErc/jdqVFznyC9Q/s640/IMG_0085.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wakazi wa Dar Wasimamisha Shughuli Kupiga Kura, Wajitokeza kwa Wingi
![](http://3.bp.blogspot.com/-_zoRJ7cgS3c/ViztpMQB7cI/AAAAAAAAE94/qSP1M-EdFs8/s640/IMG_0414.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wfzmolsYleE/Viztn9ZOAEI/AAAAAAAAE9s/VThG_drMzyQ/s640/IMG_0415.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cuUSERiVZ5c/ViztpLhpjpI/AAAAAAAAE90/Jbx9mk8q1N8/s640/IMG_0438.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lva4-yMkK6Q/VizttGynS3I/AAAAAAAAE-E/_9uSXhXS2I8/s640/IMG_0447.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fnAk_Rg8T3w/Viztu_qbdnI/AAAAAAAAE-M/0cnLNi0aY_E/s640/IMG_0565.jpg)
Na Joachim Mushi, Dar es Salaam
WAKAZI wa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam leo wamesimamisha...
10 years ago
Michuzi27 Aug
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Usaili BSS mikoa minne
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MSIMU wa tisa wa shindano la kusaka vipaji vya kuimba, maarufu kama ‘Bongo Star Search’ unatarajia kuanza rasmi mwezi ujao, ambapo kwa mwaka huu usaili utafanyika katika mikoa minne tu.
Akizungumza jijini jana, Mkurugenzi wa Kampuni ya Benchmark Production inayoandaa shindano hilo, Rita Paulsen, alisema mwaka huu watafanya usaili katika mikoa minne, baada ya kufanya uchunguzi na kugundua washiriki wanajirudia katika mikoa yote.
“Mwaka huu usaili tutaufanya...
11 years ago
Mwananchi20 May
Siri ya kufaulu usaili wa kazi- 2
11 years ago
Habarileo19 Jun
Usaili Uhamiaji ngoma nzito
MCHAKATO wa usaili kwa ajili ya kujaza nafasi za Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji zinazohitajika, unaendelea licha ya waombaji 4,834 kuchujwa katika awamu ya kwanza. Kati ya waombaji 6,116 waliofanyiwa usaili hivi karibuni jijini Dar es Salaam, waombaji 1,281 ndiyo wamebaki wakisubiri duru ya mwisho ya usaili, wabaki 70 watakaojaza nafasi hizo.