Takukuru sasa yatinga Simba
>Usaili wa wagombea uongozi wa Simba, ulichukua sura mpya baada ya jana maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuchukua vyeti vyote vya wagombea na barua tatu za Michael Wambura alizokuwa ameziwasilisha katika Kamati ya Uchaguzi wa klabu hiyo kama vielelezo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Simba yatinga nusu Fainali ya Mapinduzi
Timu ya Simba imetinga hatua ya nusu fainali baada ya kuichakaza Taifa Jang'ombe mabao 4-0 katika kuwania kombe la Mapinduzi
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imemhoji na inaendelea kumchunguza mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), James Rugemalira.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNzBJftkAk51FN92G8Sg7UDaVOls6-8mWMHNPH9Vll3YLYvBpY04KZVa0ZgF6bRT75E37bahOzIrdWyzcLk*6X4U/SIMBA.jpg?width=650)
Takukuru wavamia, wasimamisha usaili Simba
Na Waandishi Wetu
MAMBO yamekuwa mambo, uchaguzi mkuu wa Klabu ya Simba unaotarajiwa kufanyika Juni 29, umeingia katika mtikisiko, kubwa ni baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) kuingilia kati na kukomba nyaraka za wagombea na namba za simu.
Wakati hayo yakitokea upande wa pili ni kuwa aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura amewasilisha rufaa yake kwa Shirikisho...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Kumekucha sasa Simba
>Wakati Kamati ya Uchaguzi ya Simba ikifungua kuanza kwa kampeni leo, wanachama 66 wa klabu hiyo wakiongozwa na wakili Revocatus Kuuli wamefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuomba kusimamishwa mchakato wa uchaguzi huo utakaofanyika Juni 29.
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Simba sasa yaingia mchecheto
>Uongozi wa Simba umeanza kuweweseka kutokana na kuchelewa kurudi kwa nyota wake waliokuwa wakiitumikia timu za taifa.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Hatima ya Wambura Simba sasa Agosti 3
Rais wa Simba, Evans Aveva alisema jana kuwa wanachama waliofungua kesi mahakamani kupinga uchaguzi uliofanyika Jumapili wamevunja katiba ya klabu hiyo ibara ya 28 inayokataza masuala ya klabu hiyo kupelekwa mahakamani.
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Mbeya City sasa yaipania Simba
Timu ya Mbeya City imesahau yaliyopita ya kufungwa na Yanga mabao 3-1 na sasa nguvu na akili zao zipo kwenye mechi yao ya kesho dhidi ya Simba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania