Kumekucha sasa Simba
>Wakati Kamati ya Uchaguzi ya Simba ikifungua kuanza kwa kampeni leo, wanachama 66 wa klabu hiyo wakiongozwa na wakili Revocatus Kuuli wamefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuomba kusimamishwa mchakato wa uchaguzi huo utakaofanyika Juni 29.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies06 Jul
Kumekucha Tena Tuzo Kubwa za Nyuka Zipo Tayari Sasa!
TUZO kubwa zijulikanazo kwa jina la NYUKA FILM AWARDS zipo tayari kwa ajili ya kutolewa kwa wanatasnia ya filamu Swahilihood hivi karibuni mwezi huu wa saba mwisho, ni tuzo zilizolenga kutambua mchango wa filamu zinazotumia Lugha ya Kiswahili katika kukitangaza na kuunganisha mataifa.
Filamu iliyorekodiwa na kutumia Lugha ya Kiswahili inahusika kushirika na kuchukua tuzo zilizoandaliwa zaidi ya miaka mitatu kuanzia kufanya utafiti katika kujenga tuzo zenye hadhi na heshima Barani Afrika,...
11 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
11 years ago
Michuzi
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0


Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
10 years ago
Vijimambo
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Simba sasa yaingia mchecheto
11 years ago
Mwananchi30 May
Takukuru sasa yatinga Simba
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Hatima ya Wambura Simba sasa Agosti 3
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Mbeya City sasa yaipania Simba
11 years ago
Tanzania Daima10 Oct
‘Simba Ukawa’ sasa wamponza Idd Pazi
TIMU ya Simba juzi usiku iliondoka nchini kwenda Afrika Kusini kwa kambi kuelekea mechi dhidi ya Yanga, itakayopigwa Oktoba 18 Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam huku Kocha wa...