Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA CDS: NGWASUMA, MSONDO, MALAIKA ZAFUNIKA

Shabani Dede (kulia) na Juma Katundu wa Msondo Ngoma, wakiimba kwa pamoja. Wanamuziki wa FM Academia wakiserebuka.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba

With salams and jambo from IZAAS Medical Project in Bukoba, "All good times come to an end...It was time to leave", Said Dr Schaeffer while singing the song, MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA  The photos of Zulfa before and after shows what type of miracles Dr Schaeffer can do.   Brother Ansarali Hemraj generously donated 17 cartoons of wheel chairs, crunches elbow sticks and walkers, he even donated $ 1200 for heir ttransport from Dubai to Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngwasuma yakana kusambaratika

BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ imekanusha kwamba imesambaratika kutokana na kile kilichodaiwa kuwa baadhi ya wanamuziki waliopunguzwa katika bendi hiyo kuanzisha nyingine waliyoipa jina la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngwasuma kuzindua albamu ya kumi

BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ inatarajiwa kuzindua albamu yake ya 10 itakayobeba jina la ‘Chuki ya Nini’ kwenye Ukumbi wa Mzalendo Pub jijini Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee wa Ngwasuma kuvamia Moro, Dom

BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ wanatarajiwa kufanya ziara katika mikoa ya Morogoro, Dodoma na Mwanza kwa ajili ya kutambulisha albamu yao mpya ya ‘Chuki...

 

11 years ago

Michuzi

WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA MWISHONI MWA WIKI

DSCF2780Wazee wa ngwasuma wakiburudisha mashabiki  ndani ya triple A night club-Arusha siku ya wapendanao Kwa udhamini mnono wa kampuni ya Megatrade  Investment kupitia kinywaji chake cha K-vant Gin DSCF2770Wapili kushoto ni Meneja mauzo na masoko Goodluck Kway wa kampuni ya Megatrade  Investment akiwa katika meza ya pamoja na wadau siku ya valentine’s day. DSCF2783Mashabiki wakifanya yao wakati wazee wa ngwasuma wakitoa burudani DSCF2778Jailos Joseph wa Megatrade akiyarudi ndani ya stage…kushoto ni mdau wa...

 

9 years ago

Michuzi

MAMIZ GRAND RESORT INAKULETEA MIAKA 18 YA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA NA NGOMA ZAO MPYA

Tarehe 22 Oktoba, 2015 Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege alipata fursa ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Prof. Arthur Peter Mutharika katika Ikulu ya Kamuzu Palace mjini Lilongwe.Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege akipigiwa nyimbo za taifa za Malawi na Tanzania huku akishuhudiwa na maafisa Ubalozi.

Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake.Mkuu wa Itifaki Bw. Harvey Chigumula akimtambulisha Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege...

 

11 years ago

Mwananchi

Msondo, Sikinde kuonyeshana umwamba

Bendi za muziki wa dansi yenye upinzani wa jadi nchini, Msondo Music Band (Baba ya Muziki) na DDC Mlimani Park Orchestra (Sikinde Ngoma ya Ukae), watapambana katika Desemba 25 katika Viwanja vya TCC Club, Chang’ombe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani