TAMASHA LA MATUMAINI IMEBAKI SIKU MOJA PEKEE
![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjblkrHz7Au2q8aXxuHPuUesodDrMhu9mHS9reKk9xPajZ0fleY6i9wThp-SV54lPsvJtiMmrrjfTKATISflTH-e1/bongomuvi.jpg)
Na Nassor Gallu SIKU zinahesabika kuelekea tamasha babkubwa na la kihistoria la Usiku wa Matumaini, linalotarajiwa kufanyika keshokutwa Ijumaa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Kikosi cha Bongo muvi. Kuelekea tamasha hilo, tayari mkali wa ngoma ya Johnny, Yemi Alade kutoka Nigeria, amedondoka jana jijini Dar kwa ajili ya kuwasha moto wa burudani kwa kuachia shoo kali jukwaani kwa kupigwa ‘tafu’ na mastaa kibao...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerT9jRkDsE7VJgcvob8AMfYcAWYVM6ondSmxv8RQl2ouM3J1FsZcO*5CCCx7KJ29GHZchwkQBlMmCkoKAzOG*24/kazi2.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Dwmm4KmphnQ/U5-WBw-bwQI/AAAAAAAAHHg/2-xLkKG6eLY/s72-c/Anna+Mwalagho1.jpg)
Mahojiano ya moja kwa moja na msanii Anna Mwalagho kuhusu Tamasha lijalo
![](http://2.bp.blogspot.com/-Dwmm4KmphnQ/U5-WBw-bwQI/AAAAAAAAHHg/2-xLkKG6eLY/s1600/Anna+Mwalagho1.jpg)
Photo Credits Anna Mwalagho Facebook page Karibu katika mahojiano mafupi na ya moja kwa moja kati ya msanii Anna Mwalagho na Kwanza Production kwenye kipindi cha NJE-NDANI Jumamosi Juni 14, 2014 Amezungumzia tamasha kubwa linaloendelea ambalo atatumbuiza pamoja na kikundi chake kwa siku tatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-ck-tKehoUCA/U5-WDdw1peI/AAAAAAAAHHo/957Dm_G73v8/s1600/Anna+Mwalagho.jpg)
Tamasha hilo linaandaliwa kwa ushirikiano wa watu wa Oman na maktaba ya sanaa za waAfrika hapa Washington DC Karibu usikilize
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5eIeogaRC4/UwUAtE-2exI/AAAAAAAFOGw/QloBugfai44/s72-c/IMG_1366.jpg)
10 years ago
Bongo521 Nov
Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Hernandez aweka wazi kilichomkimbiza Man United, VLG alimpa asilimia moja pekee ya kucheza
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez “Chicharito” (pichani) ameweka wazi sababu iliyomfanya aondoke Manchester United kuwa ni baada ya kocha wa timu hiyo Louis Van Gaal kumwambia kuwa hana nafasi katika kikosi chake na kama akimpa nafasi basi ana asilimia moja pekee kucheza katika nafasi ya ushambuliaji ambayo ndiyo anacheza mchezaji huyo.
Akinukiliwa na gazeti la Hispania la Marca, Hernandez alisema kuwa kocha LVG alimuita kuzungumza nae...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxepGPe3FbGtGIYygjXJc2rjwqhiz5lZ1RcxCM7ilLd54yupoYimf4yr5gSgx*Qh4xxrdIFso85LLpa4tMOhD7oYw/1.jpg?width=650)
WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OLFn5rqm-Vdw1JhAA3MRM5UsJ*FELdjbEnc4oPrYC89XCrNu6yaw186WxsDJRZHtEzq3frQ7xx4zf77Tj2lIJJ/BillbA3.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPjRPGZm-6CiUTUhnJw1TB1WqUbPMM4LwyHSyk4PVh1sL5n6TFsK8C41P506-54XBimYQyZqgrfxCtem2eWuB9Aa/FRONTJUMAMOSI111111.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 FULL MSISIMKO