Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamasha la vyakula, utamaduni wa India

>Tamasha la  vyakula vya Kihindi linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Kituo cha Utamaduni wa India.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la vyakula vya Kihindi Jumapili

TAMASHA la vyakula vya Kihindi lenye lengo la kuongeza urafiki miongoni mwa Watanzania wanaovutiwa na vyakula hivyo linatarajiwa kufanyika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam keshokutwa. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyakula vya asili kunogesha Tamasha la Handeni Kwetu

BAADHI ya vyakula vya asili ya Handeni, vinatarajiwa kuwapo katika Tamasha la Utamaduni la Handeni Kwetu 2013 linalotarajiwa kufanyika Jumamosi kwenye viwanja vya Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Akizungumza mjini...

 

10 years ago

Mwananchi

Tamasha la 13 la Lugha na Utamaduni

Tamasha la 13 la Lugha na Utamaduni limefanyika Dar es Salaam tarehe 22 Machi 2015 katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamasha la 13 la Lugha na Utamaduni (B)

Katika tamasha la 13 la lugha na utamaduni lililofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 22 Machi 20015 suala la lugha ya Kiswahili lilitiliwa mkazo sana. Waziri wa Utamaduni, Habari, Vijana na Michezo, Mhe Dr P. Mukangara aliwapongeza wazazi waliowaruhusu watoto wao kuhudhuria hafla hii.

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA UTAMADUNI LAFANA JAPAN

Mtanzania Jumanne akiwa na familia yake walipohudhuria tamasha la utamaduni lililofanyia kuanzia May 9 mpaka May 10 katika viwanja vilivyopo Machida, Tokyo nchini Japan na kushirikisha nchi mbalimbali kuonyesha tamaduni zao ikiwemo mavazi. vyakula na mambo mengine mengi yahusuyo utamaduni.Mtanzania Shaban akiwa na mama mwenye nyumba wake walipohudhuria maonesho hayo.Kikundi cha Tinga tinga toka Tanzania nao wakionyesha michoro yao.Moja ya familia ya Kitanzania ikihudhuria tamasha hilo.Wadau...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la vyakula vya asili lilivyofana Umbrella Garden jijini Arusha

mratibu sensa1

Mratibu wa Sensa mkoa wa Arusha Bi.Magreth Martin akizungumza na wadau pamoja na wakazi wa jiji la Arusha waliofika kwenye tamasha hilo.

*Wafanyabiashara watakiwa kuanzisha kituo cha utalii wa chakula cha asili

Na Mwandishi wetu, Tanzaniasasablog

WAFANYABIASHARA  wametakiwa kubuni mbinu mpya ya kutangaza sekta ya utalii nchini kwa kuanzisha vituo cha utalii wa vyakula vya asili ili kuvutia watalii wanaotembelea jiji la Arusha kujionea vyakula hivyo na hatimaye kupata mlo kamili wenye asili...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA KUKUZA UTAMADUNI NA UTALII KUFANYIKA BAGAMOYO

Mmoja wa maofisa wa tamasha hilo, Muslim Nassor,  akizungumza jambo na wanahabari (hawapo pichani). Wasanii wa kundi la The Spirit Band  wakiwa katika pozi. TAMASHA la Karibu Music Festival lenye lengo la…

 

10 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA TAMASHA LA 20 LA UTAMADUNI WA MZANZIBAR LAFANYIKA JANA

Mshereheshaji katika Kongamano la Tamasha la 20 la Utamaduni wa Mzanzibar Otman Mohd (Makombora ), akitoa maelezo mafupi ya kongamano litakavyokuwa katika Ukumbi wa Suza mjini Zanzibar. Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la Tamasha la 20 la Utamaduni wa Mzanzibar wakisikiliza kwa makini mada inayowasilishwa katika Ukumbi wa Suza mjini Zanzibar. Katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar Bimwanahija Ali Juma ambae ni mgeni rasmi akitoa hotuba ya ufunguzi wa Tamasha la 20 la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani