Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamasha la vyakula vya asili lilivyofana Umbrella Garden jijini Arusha

mratibu sensa1

Mratibu wa Sensa mkoa wa Arusha Bi.Magreth Martin akizungumza na wadau pamoja na wakazi wa jiji la Arusha waliofika kwenye tamasha hilo.

*Wafanyabiashara watakiwa kuanzisha kituo cha utalii wa chakula cha asili

Na Mwandishi wetu, Tanzaniasasablog

WAFANYABIASHARA  wametakiwa kubuni mbinu mpya ya kutangaza sekta ya utalii nchini kwa kuanzisha vituo cha utalii wa vyakula vya asili ili kuvutia watalii wanaotembelea jiji la Arusha kujionea vyakula hivyo na hatimaye kupata mlo kamili wenye asili...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vyakula vya asili kunogesha Tamasha la Handeni Kwetu

BAADHI ya vyakula vya asili ya Handeni, vinatarajiwa kuwapo katika Tamasha la Utamaduni la Handeni Kwetu 2013 linalotarajiwa kufanyika Jumamosi kwenye viwanja vya Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Akizungumza mjini...

 

10 years ago

Mtanzania

Ulaji vyakula vya asili huzuia saratani’

BalancedDietNa Michael Sarungi, Dar es Salaam
WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kula vyakula vya asili katika kujikinga na ugonjwa wa saratani, ambao hivi sasa umekuwa tishio duniani.
Mbali na hilo, pia wametakiwa kuepuka uvutaji wa sigara, ulevi wa kupindukia na kubadili aina ya maisha kama njia ya kukabiliana na ugonjwa huo.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, daktari bingwa wa magonjwa ya saratani wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk. Harrison Chuwa, alisema katika kipindi cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la vyakula vya Kihindi Jumapili

TAMASHA la vyakula vya Kihindi lenye lengo la kuongeza urafiki miongoni mwa Watanzania wanaovutiwa na vyakula hivyo linatarajiwa kufanyika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam keshokutwa. Akizungumza na...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA KOMAA CONCERT LILIVYOFANA NDANI YA KIOTA CHA MARAHA CHA DAR LIVE JIJINI DAR

 Uongozi pamoja na Wafanyakazi wa kituo cha radio ya EFM 93.7 kwa pamoja wakikata keki kusherehekea kutimiza mwaka mmoja wa kituo hicho ambacho kwa sasa kinakuja kwa kasi jijini Dar na kwingineko,hafla hiyo ilikwenda sambamba na kuadhimisha miaka 16 ya msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Juma Nature,katika tamasha lililoitwa  KOMAA CONCERT,ambalo lilifanyika ndani ya kiota cha maraha cha Dar Live,Mbagala jijini Dar mwishoni mwa wiki na kuhudhuriwa na maelfu ya mashabiki na wapenzi wa...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA KRISMASI LILIVYOFANA DAR

Oliver Wema kutoka Arusha ambaye ni mwanafunzi wa Rose Mhando akitumbuiza pamoja na wachezaji wake. Bonny Mwaitege akicheza pamoja na vijana wake.…

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA WANAFUNZI WA VITIVO VYA MASOKO NA BIASHARA VYUO VIKUU VYA DAR LILIVYOFANA

Mwenyekiti wa Chama cha wanafunzi wanaosoma Kitivo cha Masoko cha Chuo Kikuu UDSM ( DUMA ) Dkt. Uliwmengu akitoa historia fupi ya Tuzo za ACHIVERS AWARDS  katika  kongamano la wanafunzi wanaaosoma Kitivo cha Masoko na Biashara lilifofanyika Jumamosi iliyopita UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA. Mkurunezi wa IPP media Dr...

 

11 years ago

Michuzi

PSPF YATOA MSAADA WA VYAKULA VITUO VYA KULELEA WATOTO YATIMA JIJINI DAR

 Afisa Uhusioano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (Wapili kulia), akimsalimia Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto Yatima, (CHAKUWAMA), kilichoko Sinza jijini Dar es Salaam jana, baada ya wafanyakazi wa Mfuko huo kukab idhi misaadsa ya vyakula kwa ajili ya sikukuu ya Idd. Mfuko huo pia umekabidhi misaada kama hiyo kwa vituo vingine sita vya yatima jijini kwa ajili ya sikukuu ya Idd. Kulia ni Afisa wa fedha wa Mfuko huo, Mohammed Madenge, na kushoto ni A\fisa Masoko,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tamasha la “Mtu kwao” laanza kurindima jijini Arusha

tamasha  Mmoja wa wawadau wa utamaduni akiwa anawaonyesha malagwanani jinsi ya kutumia mishale.  wanafunzi wakiwa wanapewa mafunzo ya kutengeneza magari ya mabati  machifu wakibadilishana uzoefu na ukabila wao  malagwanani wa kimasai wakiwa katika picha ya pamoja  chifu wa  kinadi  ambayo ipo katika wilaya ya Itilima  mkoani Simuyu  Wenceslaus Clement  akiwa anabadilishana mawazo na malagwanani wa kimasai  Mkutunzi wa kabila la wabarabaigi akiwa anawaonyesha malegwanani wa kimasai...

 

9 years ago

Michuzi

TASWA DAR HOI TAMASHA LA WAANDISHI JIJINI ARUSHA

 kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha. waandishi wahabari wa mkoa wa Arusha wakifurahia wakati tamasha likiendelea.
 Na Woinde shizza,ArushaTIMU  ya soka ya chuo cha uandishi wa habari   Arusha(AJTC) juzi walitwaa ubingwa katika bonanza la 10 vyombo vya habari mkoani Arusha huku Timu ya wanahabahari wa Dar es Salaam TASWA FC wakishindwa kutamba.

Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani