Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamiflu: "Matumizi mabaya ya fedha"

Wanasayansi nchini Uingereza waponda matokeo ya dawa ya Tamiflu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha

WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakiri matumizi mabaya ya fedha zake

Serikali imekiri kuwa na nidhamu ‘mbovu’ katika matumizi ya fedha, jambo linaloyumbisha bajeti zake mara kwa mara

 

10 years ago

Dewji Blog

Matumizi mabaya ya fedha za umma, serikali yapoteza bilioni 250/-

Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba, wakati akitoa taarifa juu ya mwenendo na hatua za kisheria kwa viongozi wa umma wanaokiuka maadili.Katikati ni Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio na kulia ni Ofisa Programu Dawati la Waangalizi Watendaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Je tunazilinda simu zetu na matumizi mabaya?

Walipofika pale yule abiria akasema ameishiwa chaji kwenye simu yake, akamuomba dereva Juma simu yake atumie kupiga ili awasiliane na mwenyeji wake katika nyumba ya wageni; simu ya Juma nayo haikuwa na fedha.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.

 Makamu Mkuu wa Chuo cha Bagamoyo.Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi,Teknolojia na Mawasiliano,Profesa Patrick Makungu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

‘Andikeni matumizi mabaya ya pesa za serikali’

NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima amewataka waandishi wa habari nchini, kuandika habari zenye kuonesha matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa lengo la kuzuia matumizi mabaya na kuwaletea maendeleo wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Yona kuanza kujitetea matumizi mabaya ya ofisi

ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona leo anaanza kujitetea mahakamani dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7.

 

10 years ago

Michuzi

TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO

Kumekua na wimbi la uhalifu Mtandao aina ya (Clickjacking unao fanana na cross-site scripting) - Unao sambaza picha zisizo rafiki katika walls za wengine ( Mara nyingi Muhusika anakua haoni hadi aambiwe) Ushauri ni Kua Uonapo Video Hizo Mjulishe muhusika ili aweze kubadili Password yake na kutoa taarifa facebook.

Pia Wewe uonae Usi Click (Bonyeza) kwani Kwa kufanya hivyo na wewe utakua umeathirikia.

Siku Njema - Yusuf Kileo

Hapo chini kuna post Mbili zenye Picha Tofauti katia Facebook ikiwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani