TAMKO LA ASASI ZA KIRAIA TANZANIA (AZAKI) KUHUSU HALI YA KISIASA VISIWANI ZANZIBAR 20/11/2015
TAMKO LA ASASI ZA KIRAIA TANZANIA (AZAKI) KUHUSU HALI YA KISIASA VISIWANI ZANZIBAR 20/11/2015 Sisi Wanaasasi za Kiraia nchini - AZAKI, tumekutana tarehe 17 Novemba 2015, ambapo ni zaidi ya wiki tatu baada ya uchaguzi mkuu kumalizika na kutathimini mwenendo wa uchaguzi mkuu na hali ya kisisasa vizisiwani Zanzibar. Awali ya yote tunapenda kuwapongeza watanzania kwa kujitokeza kwa wingi kupiga
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya tabianchi utakaofanyika New York
Asasi Nne zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini ForumCC, CAN, YouthCAN na Oxfam Tanzania zimetoa tamko la pamoja kuhusiana na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani tarehe 23/09/2014.
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...
10 years ago
MichuziTamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani Septemba 23
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...
9 years ago
Michuzi26 Nov
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Tamko Kali La Asasi Za Kiraia::Viashiria Vya Uvunjifu Wa Amani Wiki Moja Kabla Ya Uchaguzi
TAMKO LA ASASI ZA KIRAIA KUHUSU VIASHIRIA VYA UVUNJIFU WA AMANI WIKI MOJA KUELEKEA TAREHE YA UPIGAJI KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU TANZANIA TAREHE 25.10.2015 Sunday, October 18, 2015 Asasi za Tanzania tumeendelea kufuatilia mchakato wa uchaguzi […]
The post Tamko Kali La Asasi Za Kiraia::Viashiria Vya Uvunjifu Wa Amani Wiki Moja Kabla Ya Uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziAsasi za kiraia zafanya matembezi huru kusisitizia tamko lao juu ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi
Maandamano hayo yamewahusisha pia wanafunzi wa shule za sekondari za Jitegemee, Kinyamwezi, Ilala, Chanika na Maji ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Oct
ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi
Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar akifunga semina ya asasi za kiraia Friday, October 9, 2015 Asasi za kiraia nchini zimeshauriwa kuchukua jitihada binafsi kutoa elimu ya uraia na elimu ya wapiga kura kwa jamii […]
The post ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar
Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na...
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
Tamko la RSA kuhusu ajali na hali ya usalama barabarani
TAMKO LA RSA KUHUSU AJALI ZA BARABARANI (1).docx by moblog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b2PxK2hdcZI/XqRi3eEsqeI/AAAAAAALoOA/MMggTXebq6gUjkMEDtH0sU7Rw3VsVdyhQCLcBGAsYHQ/s72-c/7c15c649-2ad1-4c8d-9511-abe2158f9941.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA
Na.WAMJW,Dar es Salaam.
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Asasi za Kiraia (AZAKI) katika kupambana na janga la ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wakati akipokea andiko na mpango mkakati wa Asasi za Kiraia(AZAKI) kuhusu janga la COVID -19 nchini.
Naibu Waziri Ndugulile alisema AZAKI pamoja na wananchi wanao wajibu wa...