Tanangozi Wanufaika na Umwagiliaji wa Matone
Norbert Kikoti akiwa kwenye chamba lake la nyanya Na Daniel Mbega, Iringa MIAKA mitano iliyopita, hali ya uchumi ya Nobert Rajab Kikoti (59), ambayo kwa asilimia kubwa inategemea kilimo, ilikuwa ya kawaida kama walivyo wakulima wengi wa kijijini kwake Tanangozi mkoani Iringa. Hii ni kwa sababu alikuwa akifuata kilimo cha mazoea kisichozingatia utaalam katika uandaaji wa shamba, uchaguzi wa mbegu bora, uandaaji wake na hata utunzaji wa mimea. “Lakini sasa mambo yamebadilika, mavuno...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE ITAKUZA KILIMO CHA MATUNDA NA MBOGA KWA WAKULIMA
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI
9 years ago
Michuzi
WAZAZI WAMETAKIWA KUWAPELEKA WATOTO KUPATA MATONE YA VITAMIN 'A'

Na Chalilla Kibuda,Globu ya JamiiWAZAZI na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka
watoto wao kwenye vituo vya afya ili wakapate matone
ya vitamini A na dawa za minyoo ili kujikinga na maradhi mbalimbali yatokanayo na kukosekana kwa vitamini 'A'.
Wito huo umetolewa Dar es Salaam na Mtaalamu wa
Chakula na Lishe kutoka Taasisi ya Chakula na LisheTanzania (TFNC), Francis Modaha, wakati alipokuwa
akizungumza na waandishi habari kuhusu uhamasishaji wa utoaji wa matone ya vitamini A na dawa za...
11 years ago
Michuzi09 Mar
10 years ago
Michuzi
MBUNGE MGIMWA ACHANGIA VICOBA TANANGOZI ,ASEMA NDOTO YAKE KUWA NA BENKI YA WANANCHI WA JIMBO LA KALENGA



BOFYA HAPA KWA PICHA...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wizara kuboresha sekta ya umwagiliaji
5 years ago
Michuzi
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema malengo ya Serikali ni kukifanya kilimo cha umwagiliaji kuleta mapinduzi ya kijani.
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Skimu za umwagiliaji kuondoa njaa Iringa