Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGA UWASA KUTUMIA FEDHA ZA NDANI KUENDELEZA HUDUMA YA MAJI MARUNGU

Mkuu wa Kitengo cha Ufundi Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini
Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Rashid Shabani akizungumza wakati wa
mkutano huo

Afisa huduma kwa Wateja Tanga Uwasa ambaye kwa sasa ni Kaimu Mkuu wa kitengo cha Huduma kwa Wateja Rogers Machaku akizungumza wakati wa mkutano huo kushoto anayemfuatilia kwa umakini ni Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala
Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo

Meza kuu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TANGA UWASA YAWEKA BAYANA VISABABISHI VYA BILI KUBWA ZA MAJI



Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) wakiwa kwenye maandamano kuelekea kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani mjini Tanga.Afisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo Devota Mayala kulia akitoa ufafanuzi wa huduma za mamlaka hiyo kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari wakati alipotembelea banda lao kwenye eneo la viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika eneo hilo.Sehemu ya...

 

5 years ago

Michuzi

TANGA UWASA YAWATAKA WATEJA KUCHUKUA TAHADHARI WAKATI WA KUPATA HUDUMA KWA KUEPUKA MIRUNDIKANO

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) imewataka wateja wao kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo kama watakavyoongozwa wakati wakupatiwa  huduma ikiwemo kuepuka kurundikana kwa pamoja kwenye madirisha ili kukabiliana  na maambukizi ya ugonjwa wa Corona. 

Amesema tahadhari hiyo wameichukua ikiwa ni hatua mojawapo kuunga mkono juhudi serikali kuzuia kuingia nchini ugonjwa huo kwa kutoa elimu  kwa njia ya jumbe mbalimbali katika maeneo ya ofisi zao,hususani...

 

5 years ago

Michuzi

TANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA


Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...

 

5 years ago

Michuzi

MBARAWA AMTUMBUA AFISA KITENGO CHA MANUNUZI TANGA UWASA


WAZIRI wa Maji,Profesa Makame Mbarawa akizungumza mara baada ya kupokeataarifa ya utekelezaji wa miradi ya maji wakati wa ziara yake ya sikutatu mkoani Tanga iliyoanza leo kushoto ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly

Mkurugenziwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (TangaUwasa) Mhandisi Geofrey Hilly akizungumza wakati wa ziara hiyo kushotoni Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Lugongo

...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YATARAJIA KUTUMIA SHILINGI BILIONI 955.934 KATIKA MWAKA WA FEDHA 2014/2015

Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchi, Mathias Chikawe akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo katika Kikao cha Pili cha Baraza hilo kilichofanyika Giraffe Hotel jijini Dar es Salaam leo. Katika kikao hicho, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imependekeza kutumia Shilingi Bilioni 955.934 katika Mwaka wa Fedha 2014/2015. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Sehemu ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza kwa...

 

5 years ago

Michuzi

REDCROSS TANGA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MAJI TIRIRIKA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA


MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau kulia akitokea msaada wa vifaa vya maji tiririka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mkoani Tanga (Red Cross) Ester Wiliam ambavyo vitatumika kuwekwa milangoni kwa ajili ya watazamaji wanaoingia kwenye uwanja huo kushuhudia michezo mbalimbali kuweza kunawa mikono ikiwa ni mapambano dhidi ya Covid 19 kulia ni Mratibu wa Shirika hilo Sada Kombo.

MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau akinawa mikono mara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yaanza kuendeleza uwanja wake Tanga

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, amesema wameanza rasmi mchakato wa kuendeleza uwanja wake uliopo eneo la Mnyanjani jijini Tanga, ambapo upimaji udongo sahihi unafanyika. Kwa mujibu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao

pic 9

Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali  kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.

Pic 1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.

pic 2

Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani