MBARAWA AMTUMBUA AFISA KITENGO CHA MANUNUZI TANGA UWASA
WAZIRI wa Maji,Profesa Makame Mbarawa akizungumza mara baada ya kupokeataarifa ya utekelezaji wa miradi ya maji wakati wa ziara yake ya sikutatu mkoani Tanga iliyoanza leo kushoto ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly
Mkurugenziwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (TangaUwasa) Mhandisi Geofrey Hilly akizungumza wakati wa ziara hiyo kushotoni Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Lugongo
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YAWEKA BAYANA VISABABISHI VYA BILI KUBWA ZA MAJI
5 years ago
MichuziTANGA UWASA KUTUMIA FEDHA ZA NDANI KUENDELEZA HUDUMA YA MAJI MARUNGU
Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Rashid Shabani akizungumza wakati wa
mkutano huo
Afisa huduma kwa Wateja Tanga Uwasa ambaye kwa sasa ni Kaimu Mkuu wa kitengo cha Huduma kwa Wateja Rogers Machaku akizungumza wakati wa mkutano huo kushoto anayemfuatilia kwa umakini ni Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala
Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo
Meza kuu...
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YAWATAKA WATEJA KUCHUKUA TAHADHARI WAKATI WA KUPATA HUDUMA KWA KUEPUKA MIRUNDIKANO
Amesema tahadhari hiyo wameichukua ikiwa ni hatua mojawapo kuunga mkono juhudi serikali kuzuia kuingia nchini ugonjwa huo kwa kutoa elimu kwa njia ya jumbe mbalimbali katika maeneo ya ofisi zao,hususani...
10 years ago
Michuzi07 Jun
RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani
Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s72-c/1.jpg)
Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hpxlqy25LdY/VNSvU-6xkFI/AAAAAAAHCMs/FNx5DRKoQzk/s1600/2.jpg)
10 years ago
MichuziKITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM
11 years ago
Mwananchi28 Apr
JK azindua kitengo cha moyo
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
AU itaunda kitengo cha magonjwa