TANGAZO LA KIFO NA MAZISHI YA DR. HABIBA MUZA RAJABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-qCLmkHilAaU/VCpjlYgz6yI/AAAAAAAGmrU/yUSDye4tulk/s72-c/New%2BPicture.png)
Marehemu Dr. Habiba Muza Rajabu wakati wa uhai wake.
Familia ya Marehemu Mzee Iddi Rajabu Mtoro wa Utemini, Singida inasikitika kutangaza kifo cha Dr. Habiba Muza Rajabu kilichotokea siku ya Jumamosi tarehe 27 Septemba 2014 hapa katika mji wa Trondheim, Norway.
Msiba uko Utemini, Singida na hapa Trondheim, Norway.
Dr. Habiba Muza Rajabu alishawahi kuwa Mhadhiri (Lecturer) katika Idara ya Chemistry, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Dr. Habiba Muza Rajabu atazikwa hapa katika mji wa Trondheim,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Jun
TANGAZO LA KIFO
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/unnamed-181x300.jpg)
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1996 hadi 2002, Onel E. Malisa kilichotokea leo Alfajiri tarehe 2 Juni, 2015 katika Hospitali ya Dar Group, Jijini Dares Salaam.Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia ya Marehemu linaendelea kuratibu taratibu zote za kuaga na mazishi ya marehemu. Hivi sasa msiba upo nyumbani kwake Kinyerezi, Jijini Dar es Saalam. Aidha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FbhzzHgQ_9w/VfmPSs3kpII/AAAAAAAAwuI/bGxBU-ccHAU/s72-c/MKE%2BWA%2BMAMBO%2B%2528IMG-20150916-WA0002%2529.jpg)
TANGAZO LA KIFO CHA MARGARETH MWAISAGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FbhzzHgQ_9w/VfmPSs3kpII/AAAAAAAAwuI/bGxBU-ccHAU/s640/MKE%2BWA%2BMAMBO%2B%2528IMG-20150916-WA0002%2529.jpg)
Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Tanzania Standard Newsapapers (TSN) Limited, wachapishaji wa magazeti ya Dailynews, Sundaynews, Habarileo, Habarileo Jumapili na Spotileo, Mohamed Mambo anasikitika kutangaza kifo cha mke wake Margaret Amon Mwaisaga (pichani) kilichotokea Hospitali ya TMJ 15.09.2015. Msiba upo nyumbani kwa familia ya marehemu Mikocheni nyumba namba 87 barabara itokayo Clouds FM kwenda Kanisa la Mchungaji Rwakatare na mazishi yatafanyika siku ya Ijumaa makaburi ya Kinondoni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sqE32gw-r8o/VfJdKuwkPAI/AAAAAAAH38o/4_8hReLkqN4/s72-c/IMG-20150911-WA0000.jpg)
TANGAZO LA KIFO ROSE RAYMOND SHOGHOLO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sqE32gw-r8o/VfJdKuwkPAI/AAAAAAAH38o/4_8hReLkqN4/s320/IMG-20150911-WA0000.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KT8-1YUmSgo/VVWjdruVrWI/AAAAAAAHXaQ/HL_H-iNuymQ/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
TANGAZO LA KIFO CHA MAMA NENDIWE JAPHET MBAGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KT8-1YUmSgo/VVWjdruVrWI/AAAAAAAHXaQ/HL_H-iNuymQ/s640/unnamed%2B(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-54VtxAjMpms/U4oEVErNEjI/AAAAAAAFm2E/6AvkPQvoanw/s72-c/231532ea6b897aeab44edb713c4912cb.jpg)
TANGAZO LA KIFO CHA Amina-Zahara Shabani Mtengeti
![](http://3.bp.blogspot.com/-54VtxAjMpms/U4oEVErNEjI/AAAAAAAFm2E/6AvkPQvoanw/s1600/231532ea6b897aeab44edb713c4912cb.jpg)
Mazishi yamepangwa kufanyika kesho Jumapili baada ya Swalat A'lasir katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam. Ataswaliwa msikiti wa Maamur, Upanga. Habari ziwafikie ndugu, Jamaa na marafiki popote pale walipo. Msiba...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KGuNeo4G49c/VdxYFQ1IBPI/AAAAAAAHz3s/6hxpIct4sTQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TANGAZO LA KIFO TOKA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KGuNeo4G49c/VdxYFQ1IBPI/AAAAAAAHz3s/6hxpIct4sTQ/s640/New%2BPicture.png)
Bodi ya Ushauri, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wanasikitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya TAA, Mhandisi Lambert W. Ndiwaita kilichotokea tarehe 20/08/2015 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya.
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake mjini Bukoba tarehe 25/08/2015.Mhandisi Lambert Ndiwaita (64) alikuwa ni mmoja wa wataalamu waliobobea katika masuala ya usafiri wa anga kitaifa na kimataifa. Katika kipindi cha uhai...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)