TANGAZO LA KITABU KIPYA KUHUSU RAIS DK. MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-C14ZMmcsH5o/Vod9yfcVjwI/AAAAAAAAKOA/BloH6m5g5nc/s72-c/5188-dokta-john-pombe-magufuli.jpg)
Heri ya mwaka mpya. Nina furaha kuwafahamisha kuwa kitabu kipya, "Dokta John Pombe Magufuli: Safari ya Urais, Mafaniko na Changamoto katika Urais wake" sasa kinapatikana. Kitabu hiki ni mfululizo wa vitabu kadhaa ninavyotarajia kuvichapisha mwaka huu 2016.
Wakati kitabu hiki kikiingia sokoni, kitabu kingine kuhusu taaluluma ya Usalama wa Taifa kipo katika hatua za mwisho, na matarajio ni kukiingiza sokoni mwishoni mwa mwezi huu.
Kitabu hiki cha Dokta Magufuli kina sura sita. Katika...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Tangazo la Kitabu kipya kuhusu Dokta Magufuli!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-C14ZMmcsH5o/Vod9yfcVjwI/AAAAAAAAKOA/BloH6m5g5nc/s640/5188-dokta-john-pombe-magufuli.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Sm_qIu53yq8/VZ2PHRZQPvI/AAAAAAAHn5g/1NIED0z7uiQ/s72-c/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
uzinduzi wa kitabu kipya na yassini a.kapuya
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sm_qIu53yq8/VZ2PHRZQPvI/AAAAAAAHn5g/1NIED0z7uiQ/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rais Magufuli amfuta kazi mtumishi wa serikali aliyechana kitabu kitakatifu cha Kurani
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Kitabu kipya cha Game of Thrones kuchelewa
9 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI WA UFARANSA NA AWASILI DODOMA KWA GARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Malika Berak kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa...
10 years ago
GPL9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VN4bRelXZdQ/Vkt40IYVMeI/AAAAAAAIGdk/H9-D20HX7DQ/s72-c/86244950-352e-4f23-a545-f420ec704c79.jpg)
Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa, awasili Mjini Dodoma kwa Gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-VN4bRelXZdQ/Vkt40IYVMeI/AAAAAAAIGdk/H9-D20HX7DQ/s640/86244950-352e-4f23-a545-f420ec704c79.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OA9I9jw6NPQ/Vkt42lgYcAI/AAAAAAAIGds/H2iav6_ELPk/s640/17c3e5df-f79c-4425-893f-0de5bc61a6e4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFRjvHD2XT4/Vkt44lOblWI/AAAAAAAIGd0/Q_WF1I8fhs0/s640/65529ec3-b4fc-43e9-8267-8c00ab215361.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa na awasili mjini Dodoma kwa gari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Malika Berak kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w6oVSy2_DNM/VTJ6rExi-VI/AAAAAAAHR6A/2IaPqN2AdlE/s72-c/CCuHZcWWMAAeFsc.jpg)
Kitabu Kipya cha Mhe. Hamisi Kigwangalla: "Kigwanomics and The Tanzania We Want: From Renaissance to Transformation"
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6oVSy2_DNM/VTJ6rExi-VI/AAAAAAAHR6A/2IaPqN2AdlE/s1600/CCuHZcWWMAAeFsc.jpg)