Tangazo la Kozi ya Masters
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
11 years ago
Michuzi12 Oct
MASTERS DEGREE ANNOUNCEMENT
10 years ago
Michuzi.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
10 years ago
TheCitizen25 Aug
11 years ago
BBC
10 years ago
Mtanzania16 Oct
atinga robo fainali Shanghai Masters
SHANGHAI, CHINA
NYOTA wa tenesi, Andy Murray, ametoka nyuma kwa seti moja na kumchapa John Isner na kutinga robo fainali ya michuano ya Shanghai Masters.
Mwingereza huyo namba mbili kwa ubora duniani, 28, alionyesha uimara mbele ya uso wa Isner na kushinda kwa seti 6-7 (4-7) 6-4 6-4.
Ilimchukua saa 2.30 Murray kuweza kumaliza pambano hilo na sasa atakutana na Tomas Berdvch au Gilles Simon kwenye robo fainali, itakayofanyika leo.
10 years ago
Africanjam.Com
NEW MOVIE: "DUNIA" FROM AKIM MASTERS FILM

Filamu ya dunia kutoka AKIM MASTER FILMS ni filamu inayoelezea maisha ya wanaomtumikia Mungu maisha yao jinsi yalivyo, maisha ya wanaomtumikia shetani na pia maisha ya watu wanaomtumikia Mungu huku nyuma ya pazia wanamtumikia shetani. Filamu hii imeandaliwa na kusambazwa na AKIM MASTERS FILMS ambao pia walitengeneza filamu iliyofanya vizuri sokoni ya CHINI YA JUA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain...
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Novak Djokovic atwaa taji la Paris Masters
PARIS, UFARANSA
NYOTA wa mchezo wa tenisi nchini Serbia, Novak Djokovic, amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya Paris Masters baada ya kumshinda mpinzani wake, Andy Murray, katika fainali iliyochezwa juzi jijini Paris, nchini Ufaransa.
Nyota huyo namba moja kwa ubora wa mchezo huo duniani, alimshinda mpinzani wake kwa seti 6-2, 6-4 na kufanikiwa kutwaa taji hilo na kumfanya azidi kuweka rekodi mbalimbali.
Djokovic amekuwa mchezaji wa kwanza kuweza kushinda mara sita kwa mwaka michuano ya ATP...