Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangazo la Kozi ya Masters

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

11 years ago

Michuzi

MASTERS DEGREE ANNOUNCEMENT

          This is to inform those who are interested that there will be an information session about a Master's Degree in Public Health Leadership (MPHL) which is planned to be held in Dar es salaam on October  21st and 22nd, 2014. There will be morning and afternoon sessions on October 21stand Afternoon session on October 22nd, 2014.This MPHL course is under the Canada's "Save The Mothers" program that is designed in such a way that one can continue with his/her profession by taking modular...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

TheCitizen

Serena wins Masters for second time

The American will be bidding for history at the US Open

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Meet the Somali masters of ice

The African team taking on a surprising winter sport

 

10 years ago

Mtanzania

atinga robo fainali Shanghai Masters

Andy_Murray_2590815bSHANGHAI, CHINA

NYOTA wa tenesi, Andy Murray, ametoka nyuma kwa seti moja na kumchapa John Isner na kutinga robo fainali ya michuano ya Shanghai Masters.

Mwingereza huyo namba mbili kwa ubora duniani, 28, alionyesha uimara mbele ya uso wa Isner na kushinda kwa seti 6-7 (4-7) 6-4 6-4.

Ilimchukua saa 2.30 Murray kuweza kumaliza pambano hilo na sasa atakutana na Tomas Berdvch au Gilles Simon kwenye robo fainali, itakayofanyika leo.

 

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MOVIE: "DUNIA" FROM AKIM MASTERS FILM


Filamu ya dunia kutoka AKIM MASTER FILMS ni filamu inayoelezea maisha ya wanaomtumikia Mungu maisha yao jinsi yalivyo, maisha ya wanaomtumikia shetani na pia maisha ya watu wanaomtumikia Mungu huku nyuma ya pazia wanamtumikia shetani. Filamu hii imeandaliwa na kusambazwa na AKIM MASTERS FILMS  ambao pia walitengeneza filamu iliyofanya vizuri sokoni ya CHINI YA JUA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain...

 

9 years ago

Mtanzania

Novak Djokovic atwaa taji la Paris Masters

djokovicPARIS, UFARANSA

NYOTA wa mchezo wa tenisi nchini Serbia, Novak Djokovic, amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya Paris Masters baada ya kumshinda mpinzani wake, Andy Murray, katika fainali iliyochezwa juzi jijini Paris, nchini Ufaransa.

Nyota huyo namba moja kwa ubora wa mchezo huo duniani, alimshinda mpinzani wake kwa seti 6-2, 6-4 na kufanikiwa kutwaa taji hilo na kumfanya azidi kuweka rekodi mbalimbali.

Djokovic amekuwa mchezaji wa kwanza kuweza kushinda mara sita kwa mwaka michuano ya ATP...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani