TANGAZO LA KUPOTELEWA NA MTOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-6XUNIEO35nk/VNshmx5h75I/AAAAAAAHDBo/flavfRiE_Sk/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
MTOTO WA KIUME DUZE DAVID TUSEKELEGE MWANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU KATIKA SHULE YA SEKONDARI AMKA ILIYOPO IGAWILO UYOLE MKOANI MBEYA AMETOWEKA NYUMBANI MAENEO YA SOWETO KWA MAMA JOHN TANGU TAREHE 04 JANUARY 2015.
MTOTO HUYO NI MWEUPE WA KIMO CHA WASTANI, TUNAOMBA MTU YEYOTE ATAKAYE MUONA ATOE TAARIFA KATIKA KITUO CHA POLISI KILICHO KARIBU. TAARIFA YA POLISI NI RB 71/2015 YA TAREHE 08/01/2015 AU ATUTAARIFU KWA NAMBA ZA SIMU ZIFUATAZO – 0756 033 340, 0764 504 904 ,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi31 Dec
TANGAZO LA KUPOTELEWA KWA "DOCUMENT" ZA MERY MICHAEL LASWAI
Vitu hivyo aliibiwa akiwa maeneo ya Boko jijini Dar es Salaam atakayeviona mahari popote pale tunaomba apige simu namba 0754441165 na 0688045999. SHUKRANI.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
11 years ago
MichuziTANGAZO LA MSIBA WA MTOTO ELIEWAHA KAJIRU MROKI
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Bibi yake Kinyenze, Mvomero Morogoro. Habari ziwafikie, Baba Mkubwa wa Marehemu, Lloyd Atenaka wa Kibaha Block B, Baba wadogo wa Marehemu, Dossa Mroki, Onesmo Nathan, Thomas Nathan, Daniel Nathan, Kyase Nathan na Mroki Mroki. Shangazi wa Marehemu, Stella Kaluse na...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.
Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...
10 years ago
Michuzi17 Oct
MSAADA TUTANI; KUPOTELEWA KWA NYARAKA MUHIMU
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bkRGK8_6IEA/UxrR5XihF1I/AAAAAAAAhZ0/Dj9FRfIW5Zg/s1600/IMG-20140308-WA0002.jpg?width=640)
MAMA MKUBWA WA MTOTO ALIYEUNGUA MOTO ATOWEKA NA MTOTO HUYO KUSIKO JULIKANA.
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?