Tanroads yaagizwa kukabidhi barabara kwa DART
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kukabidhi maeneo ya barabara yaliyokamilika ya mradi wa barabara wa mabasi yaendayo kasi kwa Wakala wa Usafiri Haraka wa Mabasi(DART) ili yaanze kutumiwa na wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bApp_GLve-w/VUDd3iM2m1I/AAAAAAAHUAI/3boRY6W_kaE/s72-c/2.jpg)
DKT. MAGUFULI AMWAGIZA MTENDAJI MKUU TANROADS KUKABIDHI BARABARA YA “DART”
Hayo ameyazungumza Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli katika hafla uzinduzi wa barabara ya Uhuru ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam iliyofanyika leo katika viwanja vya...
10 years ago
Habarileo12 May
Tanroads kuchunguza uharibifu wa barabara
WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeunda timu ya wataalamu wake na kushirikiana wenzao wa Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa masuala ya Barabara kutoka nchi ya Afrika Kusini kwa ajili ya kuchunguza kwa kina chanzo za uharibifu wa barabara kuu za lami nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
TANROADS kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kamanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari ofisi kwake kutolea ufafanuzi suala la Barabara ya Kamanga Ferry mpaka Sengerema ambayo haipo katika hali nzuri na kusema mkandarasi yupo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_emyf_SJVbo/XkZ24L2g7KI/AAAAAAALdV8/5v1kzH8H4HcHCXNfL-VR1hZ_UC3nORfuwCLcBGAsYHQ/s72-c/4AA-4-1024x768.jpg)
TANROADS SIMAMIENI UBORA WA BARABARA-KWANDIKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_emyf_SJVbo/XkZ24L2g7KI/AAAAAAALdV8/5v1kzH8H4HcHCXNfL-VR1hZ_UC3nORfuwCLcBGAsYHQ/s640/4AA-4-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1AA-3-1024x682.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya LEA International Bw. Leela Prasad (kulia) anayesimamia ujenzi wa barabara ya Usesula-Komanga yenye urefu wa...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara
Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKALA wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s640/IMG-20151015-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8Zg2_nKNl8/Vh-LtVoQrMI/AAAAAAADA8k/nX0zBE9-wBs/s640/IMG-20151015-WA0015.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1H7W3m7DN-U/XuJknVjsf3I/AAAAAAACNA8/pl69wKn7YU4YY6EuhmXeNOic-UQup7W3ACLcBGAsYHQ/s72-c/magu.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AZINDUA MAJENGO YA TARURA NA ZIMAMOTO, AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA NA KUKABIDHI PIKIPIKI JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1H7W3m7DN-U/XuJknVjsf3I/AAAAAAACNA8/pl69wKn7YU4YY6EuhmXeNOic-UQup7W3ACLcBGAsYHQ/s400/magu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Juni, 2020 amezindua majengo ya Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali Makao Makuu Dodoma na kukabidhi pikipiki 448 za Maafisa Tarafa hapa nchini.
Sherehe za uzinduzi wa jengo la TARURA, uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa kilometa 51.2 za barabara za lami katika...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...