TANZANIA 4 BENIN 1 TAIFA HIYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars,Juma Luizio akiipachikia bao timu yake katika mtangange wa kikataifa wa kirafiki dhidi ya Benin,uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda 4-1 dhidi ya Benin.
Wachezaji wa Taifa Stars,wakishangilia ushindi wao huku wakiwaacha wapinzani wao wa Benin wakiwa hoi tena wakiwa hawaamini wanachokiona uwanjani hapo.
Washabiki wa Taifa stars wakiisapoti vilivyo timu yao.
Ubao wa ulionyesha hivi kabla jamaa hawajapata...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)
10 years ago
StarTV13 Oct
Taifa Stars yaifumua Benin 4-1.
TAIFA Stars jana iliikung’uta Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambayo ilitanguliwa na mechi ya amani kati ya viongozi wa dini wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mabao ya nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro,’ Amri Kiemba, Thomas Ulimwengu na Juma Luizio yalitosha kuizamisha Benin ‘Squirrels’ ambayo ilikuwa ikiongozwa na nahodha wake, mshambuliaji wa Wes Brom Albion ya England, Stephane Sessegnon. Bao lao lilifungwa na Suanon Fadel.
Stars...
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Taifa Stars yaivaa Benin
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1K8UNuGB1wY/VCqNmtEH_rI/AAAAAAAGmtU/d2yy7eMgFMM/s72-c/Staz.jpg)
26 WAITWA TAIFA STARS ITAKAYOIVAA BENIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-1K8UNuGB1wY/VCqNmtEH_rI/AAAAAAAGmtU/d2yy7eMgFMM/s1600/Staz.jpg)
Kocha Mart Nooij ambaye yuko Cairo, Misri kwenye kongamano la makocha la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), amesema kikosi cha Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kitaingia kambini Oktoba 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wachezaji walioitwa ni makipa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZXUzd3AHik/VCQS5iDHgGI/AAAAAAAGltU/8GqtyhHNMtw/s72-c/TAIFA1.jpg)
TAIFA STARS, BENIN KUKIPIGA JIJINI DAR OKTOBA 12
![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZXUzd3AHik/VCQS5iDHgGI/AAAAAAAGltU/8GqtyhHNMtw/s1600/TAIFA1.jpg)
Mechi hiyo itachezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 kamili jioni. Programu ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kwa ajili ya mechi hiyo itatangazwa baadaye na Kocha Mkuu Mart Nooij.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaendelea na taratibu nyingine kwa ajili ya mechi...
10 years ago
TheCitizen13 Oct
SOCCER:Clinical Taifa Stars hand Benin a hiding
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Tanzania yaikomoa Benin 4-1
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qnXigDolgdM/default.jpg)