Tanzania haina tatizo na yeyote EAC -Sitta
WIZARA ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema Tanzania haina tatizo na nchi yoyote katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na ipo tayari kuingia katika Shirikisho, lakini haitakurupuka katika maamuzi yoyote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.
Na MatukiodaimaBlog, Ludewa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.
11 years ago
IPPmedia19 Jan
EAC Single Currency:Forget Western concerns, Sitta cautions
IPPmedia
IPPmedia
As the East Africa Community fast moves towards deeper economic integration - plus plans for a single currency there's need to refrain from speculative fears fueled mainly by western countries, EAC Cooperation Minister Samuel Sitta has warned. He said the ...
EAC moots grand plans for ArushaEast African Business Week
East Africa may launch single currency by 2024Zawya (registration)
South Sudan war delays its EAC...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Tanzania haina dampo la taka ngumu’
TANZANIA haina dampo la kutekeleza taka ngumu zenye sumu, bunge lilielezwa jana. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Ummi Mwalimu, alipokuwa akijibu...
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Tanzania haina kipimo cha Ebola
![Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Dk.-Seif-Rashid.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam
SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.
Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...
5 years ago
Bongo514 Feb
Anna Mghwira -Tanzania haina uchaguzi wa demokrasia
Aliyekuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha siasa ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amedai Tanzania bado haina uchaguzi wa demokrasia huku akiweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 jimbo la Singida.
Mwanamama huyo ambaye alionyesha ujasiri mkubwa katika mbio za kuwania kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2015, amesema hayo Jumatatu hii wakati akizungumza kupitia kipindi Cha Dakika 45 cha ITV.
“Siwazi siioni Tanzania ya uchaguzi ya mwaka 2020....
11 years ago
Habarileo12 Dec
Tanzania haina utitiri wa vyama vya siasa- Lukuvi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema bado Tanzania haina idadi kubwa ya vyama vya siasa vilivyosajiliwa kama ilivyo kwa nchi nyingine duniani.