Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tanzania haizalishi viongozi bora’

TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye tatizo la kuzalisha viongozi bora wenye kufuata sera za uongozi na kujua wajibu wao kwa watu wanaowaongoza. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mfumo wa uteuzi unavyotukosesha viongozi bora

Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa na mfumo wa ajabu wa uteuzi wa watendaji wa kada mbalimbali katika vyombo vya kiserikali na vile vya umma.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nakalekwa watakiwa kuchagua viongozi bora

WAKAZI wa Mtaa mpya wa Nakalekwa Kata ya Wazo jijini Dar es Salaam, wametakiwa kuwachagua viongozi bora wa mtaa huo wanaofahamu shida zinazowakabili ikiwemo kubomolewa na kuchomewa moto makazi yao...

 

10 years ago

Habarileo

Waumini wa dini chagueni viongozi bora -Madenge

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Mahmoud Madenge amesema uhuru na raha ya kuabudu vitaendelea kuwepo, endapo waumini wa dini mbalimbali watashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuchagua viongozi wanaoshughulikia matatizo ya wananchi.

 

9 years ago

GPL

TGNP YAWAASA WATANZANIA KUCHAGUA VIONGOZI BORA

Mmoja wa wawezeshaji wa kikundi kilichokuwa kimeshiriki katika Tamasha la Jinsia la TGNP, Darius Mhawi akitoa maada mbalimbali zilizohusu masuala ya upatikanaji wa maji safi na salama. Moja ya kikundi kikifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika tamasha hilo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa kwenye uchaguzi inavyo wanyima wananchi viongozi bora

Akiwa na kaptula pana, tumbo wazi huku amebeba beleshi, Ally Bakari ‘Champion’, bondia wa zamani wa masumbwi na mkazi wa Mtaa wa Buguruni Kisiwani, anawaongoza wenzake kwenda kuzibua mtaro wa maji taka ambao umeziba na kuzua mtafaruku mtaani hapo.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania

Mwaka 2005 wakati wa mchakato wa kampeni za urais, niliandika makala nikihadharisha kuhusu ahadi nyingi za ajira na maisha bora zilizokuwa zinatolewa na mgombea wa urais ambaye sasa ni Rais wa nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi. …Akiwa na binamu yake.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto), …

 

10 years ago

Michuzi

Elimu ya uongozi bora yatolewa kwa viongozi wa vikundi vya vijana Kata ya Selela

Mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Ester Riwa katikati akizungumza na Vijana wa Kata ya Selela (hawapo pichani) wakati wa semina ya Ujasiriamali, Ujuzi, Stadi za Maisha na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana jana katika Kata ya Selela Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele na kulia ni Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara hiyo Bi. Amina Sanga.Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani