Mfumo wa uteuzi unavyotukosesha viongozi bora
Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa na mfumo wa ajabu wa uteuzi wa watendaji wa kada mbalimbali katika vyombo vya kiserikali na vile vya umma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Mkapa aponda uteuzi wa viongozi
Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amekosoa uteuzi wa viongozi wa umma nchini akisema sera ya utumishi wa umma inayojali utaalamu haifuatwi.
Ametoa kauli hiyo wiki chache baada ya kuzuka mjadala wa uteuzi wa wakuu wa wilaya uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, huku ikielezwa haukuzingatia weledi, maadili na uzoefu kwa walioteuliwa.
Akizungumza katika siku ya pili ya uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam jana, Mkapa aliyekuwa mtoa mada,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s72-c/images%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s1600/images%2B(1).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-zKARvEC8I/Xuz78Cyxg1I/AAAAAAALuqI/rB93_s0EsGMFjhS7IXPAFkwf8VuHStjVwCLcBGAsYHQ/s72-c/ACCOUNTABILITY%252BPIC.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Uteuzi wa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na viongozi ngazi mbalimbali Wizara ya Mambo ya Nje
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Victoria Richard Mwakasege (pichani) kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Mwakasege alikuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
Aidha, Rais Kikwete amemteua Msaidizi wa Rais wa Diplomasia, Balozi Samwel Shelukindo kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Kimataifa.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Balozi Ombeni...
11 years ago
Michuzi28 Mar
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Namna ya kupangilia mfumo wa ulaji bora kwa afya thabiti
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu
TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkrARHvgfeU/XtfkdeLBeCI/AAAAAAALsig/kxvC5meI7pMzeBo3XF089lWN6lIwPWo-gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B20.55.36.png)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
‘Tanzania haizalishi viongozi bora’
TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye tatizo la kuzalisha viongozi bora wenye kufuata sera za uongozi na kujua wajibu wao kwa watu wanaowaongoza. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa...