Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TGNP YAWAASA WATANZANIA KUCHAGUA VIONGOZI BORA

Mmoja wa wawezeshaji wa kikundi kilichokuwa kimeshiriki katika Tamasha la Jinsia la TGNP, Darius Mhawi akitoa maada mbalimbali zilizohusu masuala ya upatikanaji wa maji safi na salama. Moja ya kikundi kikifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika tamasha hilo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Nakalekwa watakiwa kuchagua viongozi bora

WAKAZI wa Mtaa mpya wa Nakalekwa Kata ya Wazo jijini Dar es Salaam, wametakiwa kuwachagua viongozi bora wa mtaa huo wanaofahamu shida zinazowakabili ikiwemo kubomolewa na kuchomewa moto makazi yao...

 

10 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.

Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yawaasa watanzania kuthamini na kutunza viwanja vya michezo

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Leonard Thadeo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uharibifu wa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo(hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam alipokutana nao kuzungumzia uharibifu wa miundombinu katika Uwanja wa Taifa. Picha na Frank Shija - WHVUM

 

10 years ago

Bongo Movies

Msungu: Wasanii Tujipange Kuchagua Kiongozi Bora

MWIGIZAJI wa kiume wa filamu  Stanley Msungu ‘Senator’ amewashauri wasanii kushiriki katika uchaguzi ujao kwa kujiandikisha katika daftari la kupiga kura na kumchagua kiongozi sahihi na si ushabiki kwani kuna vitu vingi kutoka kwa wasanii vinahitajika viwekwe sawa kwa jamii na wasanii pia.

“Uchaguzi wa mwaka huu una changamoto kwani haijawahi kutokea watangqaza nia wakawa wengi kama mwaka huu, kiasi kwama hata baadhi ya wananchi wanachanganyikiwa wamchague nani? Japo kwa baadhi ya wanachama...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania waombwa kuchagua wagombea wa CCM

 

Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi Kata ya Kisarawe II jijini Dar es Salaam Issa Zahoro amewataka watanzania kufanya uchaguzi sahihi Oktoba 25 mwaka kwa kuwachagua wagombea wa CCM.

Amesema kuichagua CCM ni njia pekee ambayo itaweza kuifanya Tanzania kuendeleza amani iliyopo kwani hakuna chama kingine chenye Sera zinazotekelezeka zaidi ya Chama hicho.

 

Akizundua Kampeni za Udiwani, Kisarawe II Kigamboni Jijini Dar Es Salaam, Zahoro amesema hakuna asiyefahamu kwamba CCM imefanikiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana waaswa kuchagua viongozi makini

VYAMA vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimewataka vijana kutotumika kama daraja la kupata viongozi wabovu, wasio kuwa na sifa kwa jamii, baada ya kuchukua fedha chafu kutoka kwa watu wanaoomba nafasi ya uongozi.

 

9 years ago

StarTV

Pinda awataka watanzania kuchagua Rais mwajibikaji

Mjumbe wa kamati  kuu  ya  Chama  cha  Mapinduzi  taifa  Mizengo Pinda amewataka watanzania kutofanya makosa kuwachagua wagombea wasiokuwa na uwezo wakuongoza na kuleta maendeleo ya kweli akidai kuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli  ndiye kiongozi mwenye uwezo  wa  kufanya  mabadiliko  ya  kweli  kwa  awamu  ya  tano.

Pinda amezungumza hayo katika  vijiji  vya  Mwamapuli  na  Usevya  kwenye  mikutano  ya  hadhara  ya  kumnadi  mgombea  urais   wa  CCM  pamoja  na  mbunge ...

 

10 years ago

StarTV

Wananchi waaswa kuchagua viongozi wachapa kazi

Na Sudi Shaaban,

Mwanza.

 

Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wananchi kuwa makini kuepuka watakaotaka uongozi kwa kutoa rushwa na badala yake wachague viongozi ambao watakuwa na weledi na wachapa kazi katika taifa.

 

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu watu mbalimbali wanatajwa kujitokeza kuwania nafasi za uongozi baadhi yao wakijipanga kupata kura kwa kuwalaghai wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu za uchaguzi.

 

Baadhi ya wananchi wanatajwa kuwa mstari wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani