Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania waombwa kuchagua wagombea wa CCM

 

Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi Kata ya Kisarawe II jijini Dar es Salaam Issa Zahoro amewataka watanzania kufanya uchaguzi sahihi Oktoba 25 mwaka kwa kuwachagua wagombea wa CCM.

Amesema kuichagua CCM ni njia pekee ambayo itaweza kuifanya Tanzania kuendeleza amani iliyopo kwani hakuna chama kingine chenye Sera zinazotekelezeka zaidi ya Chama hicho.

 

Akizundua Kampeni za Udiwani, Kisarawe II Kigamboni Jijini Dar Es Salaam, Zahoro amesema hakuna asiyefahamu kwamba CCM imefanikiwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakazi Magu waombwa kuchagua viongozi watakao tatua changamoto ya maji.

Wakazi wa Magu mkoani Mwanza wameelezwa kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kijamii ikiwemo ukosefu wa maji katika jimbo hilo ni kuchagua viongozi wanaokerwa na matatizo yanayoikumba jamii nzima na sio tatizo la mtu mmojammoja.

Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu amesema jimbo la Magu linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo tatizo la maji ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka pamoja na changamoto mbalimbali zinazo ikabili jamii..

 Katika ufunguzi wa kampeni katika jimbo la Magu...

 

9 years ago

Habarileo

Wagombea uongozi wanawake waombwa kutetea ujinsia

WANAWAKE waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao wameshauriwa kubeba ajenda za haki za wanawake bila kujali itikadi za vyama vyao na kuhakikisha wanazisemea kadri watakavyoweza.

 

10 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.

Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...

 

9 years ago

GPL

TGNP YAWAASA WATANZANIA KUCHAGUA VIONGOZI BORA

Mmoja wa wawezeshaji wa kikundi kilichokuwa kimeshiriki katika Tamasha la Jinsia la TGNP, Darius Mhawi akitoa maada mbalimbali zilizohusu masuala ya upatikanaji wa maji safi na salama. Moja ya kikundi kikifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika tamasha hilo.…

 

9 years ago

StarTV

Pinda awataka watanzania kuchagua Rais mwajibikaji

Mjumbe wa kamati  kuu  ya  Chama  cha  Mapinduzi  taifa  Mizengo Pinda amewataka watanzania kutofanya makosa kuwachagua wagombea wasiokuwa na uwezo wakuongoza na kuleta maendeleo ya kweli akidai kuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli  ndiye kiongozi mwenye uwezo  wa  kufanya  mabadiliko  ya  kweli  kwa  awamu  ya  tano.

Pinda amezungumza hayo katika  vijiji  vya  Mwamapuli  na  Usevya  kwenye  mikutano  ya  hadhara  ya  kumnadi  mgombea  urais   wa  CCM  pamoja  na  mbunge ...

 

10 years ago

Michuzi

DEGE ECO - VILLAGE WASHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA, WATANZANIA WAOMBWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KUNUNUA NYUMBA

Mradi wa nyumba unaosimamiwa na kampuni ya Hifadhi inayoitwa Dege Eco-Village umeshiriki Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa Jijini Dar es Salaam ya Saba Saba.Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,  Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege eco-Village alisema  kwa sasa ujenzi unaendelea na karibu aina ya nyumba apartment 3000 zishakamilika.Aliongezea kusema kwamba kupitia mradi huu waTanzania watanufaika kwa kupata ajira na pia kuwa na huduma kama hospitali, shule,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania waombwa kutembelea banda la Access Bank lililopo sabasaba ili wajipatie mkopo wa chap chap

Wafanyakazi wa Access Benki, Frida Moshi akielezea machache wakati akihojiwa na Channel 10 kuelezea huduma wanazozitoa ndani ya banda lao namba nne lililoko katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.


Wafanyakazi wa Access Benki, Catherine Gyumi akielezea machache wakati akihojiwa na Channel 10 kuelezea huduma wanazozitoa ndani ya banda lao namba nne lililoko katika banda lao lililopo...

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAOMBWA KUTEMBELEA BANDA LA ACCESS BENKI LILILOPO SABASABA ILI WAJIPATIE MKOPO WA CHAP CHAP‏

Wafanyakazi wa Access Benki, Frida Moshi akielezea machache wakati akihojiwa na Channel 10 kuelezea huduma wanazozitoa ndani ya banda lao namba nne lililoko katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani