Wagombea uongozi wanawake waombwa kutetea ujinsia
WANAWAKE waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao wameshauriwa kubeba ajenda za haki za wanawake bila kujali itikadi za vyama vyao na kuhakikisha wanazisemea kadri watakavyoweza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV09 Sep
Watanzania waombwa kuchagua wagombea wa CCM
Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi Kata ya Kisarawe II jijini Dar es Salaam Issa Zahoro amewataka watanzania kufanya uchaguzi sahihi Oktoba 25 mwaka kwa kuwachagua wagombea wa CCM.
Amesema kuichagua CCM ni njia pekee ambayo itaweza kuifanya Tanzania kuendeleza amani iliyopo kwani hakuna chama kingine chenye Sera zinazotekelezeka zaidi ya Chama hicho.
Akizundua Kampeni za Udiwani, Kisarawe II Kigamboni Jijini Dar Es Salaam, Zahoro amesema hakuna asiyefahamu kwamba CCM imefanikiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fXtcMN2x5Bo/VbcQTsA6LUI/AAAAAAAHsHs/FONHSgvWRw0/s72-c/unnamed.jpg)
WANAWAKE MORO WAOMBWA KUSAIDIA KUFICHUA WAHALIFU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fXtcMN2x5Bo/VbcQTsA6LUI/AAAAAAAHsHs/FONHSgvWRw0/s1600/unnamed.jpg)
Na John Nditi, Morogoro
MKUU wa Mkoa wa Morogoro pichani kati, Dk Rajab Rutengwe, amewaomba wanawake kuanzia ngazi ya mitaa, vitongoji, vijiji na kata kushiriki katika suala la ulinzi shirikishi kwa kuwafichua wahalifu wanaotishia kuhatarisha uvujifu wa amani ndani ya mkoa.
Dk Rutengwe alitoa rai hiyo wakati alipozungumza na wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Morogoro , Julai 24, 2015 wilayani Kilosa baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Agentina waandamana kutetea wanawake
11 years ago
Michuzi24 Feb
WAMILIKI WA MAENEO YA BIASHARA WAOMBWA KUTOA KIPAUMBELE KWA WANAWAKE WAJASIRIMALI
![DSC_0935](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0935.jpg)
Na Damas Makangale
WAMILIKI Wote wa maeneo ya biashara nchini wameombwa kutoa nafasi ya maeneo ya biashara kwa wajasirimali wanawake ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s72-c/IMG_4053.jpg)
WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KWANZA LA KIPEKEE LA KUWAWEZESHA WANAWAKE NA VIJANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s1600/IMG_4053.jpg)
“Tamasha hili limeandaliwa ili kuwaonesha wanawake na vijana umuhimu wa kuweka akiba, aina tofauti...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0935.jpg)
WAMILIKI WA MAENEO YA BIASHARA WAOMBWA KUTOA KIPAUMBELE KWA WANAWAKE WAJASIRIMALI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ekWkQiAtkiA/Ux6qd8YyeHI/AAAAAAAFS1k/lJ22I4OnIfQ/s72-c/582355+(1).jpg)
BAN KI MOON AWACHAGIZA WANAWAKE KUENDELEA KUTETEA FURSA SAWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ekWkQiAtkiA/Ux6qd8YyeHI/AAAAAAAFS1k/lJ22I4OnIfQ/s1600/582355+(1).jpg)