Tanzania kuvuna Sh bilioni 900 za MCC-2
Washington, Marekani
TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa fedha za maendeleo kwa awamu ya pili kutoka Shirika la Maendeleo la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Dar es Salaam jana ilisema kutokana na hali hiyo, Tanzania itaanza kunufaika tena na mabilioni ya fedha baada ya wajumbe wa bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.
Makubaliano hayo,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Wateja wa Tigo Pesa kuvuna shilingi bilioni 3.8
Mkuu wa Huduma za Kifedha Kwa Njia ya Mtandao wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Tigo Dar es Salaam, kuhusu Wateja wa Tigo Pesa kupata faida ya robo mwaka ya shilingi bilioni 3.8. Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Waandishi wa habari wakichukua taarifa hiyo.
Mkutano ukiendelea.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Wateja wa Tigo Pesa kuvuna faida ya bilioni 3.3 kwenye malipo ya kila robo mwaka
Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza malipo ya faida ya hisa za tigo pesa kwa wateja wake katika robo mwaka mwingine, malipo haya ni jumla ya kiasa cha pesa bilioni 3.314 sawa na dola za kimarekani milioni 1.8. Huu ni ugawaji wa faida ya robo ya pili kwa mwaka huu.
Lengo letu ni kuhakikisha kuwa wadau wote wa Tigo Pesa, ambao ni pamoja na wateja binafsi, mawakala wa reja reja na washirika wetu wa kibiashara ambao watashiriki kwenye gawio la faida hii ni kutokana na thamani ya kietronikia...
9 years ago
Habarileo19 Sep
MCC yaifagilia Tanzania
SHIRIKA la Changamoto za Milenia (MCC), limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania imefanya mageuzi muhimu ambayo ni sehemu ya maandalizi ya utekelezaji wa kuipatia nchi mkataba wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 472.8, sawa na zaidi ya Sh bilioni 800.
9 years ago
Michuzi18 Dec
9 years ago
Habarileo22 Sep
‘Mkataba mpya wa Tanzania, MCC utatekelezwa’
SERIKALI imeelezea imani yake kwamba Mkataba mpya baina ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), ili shirika hilo liweze kutoa Dola za Marekani milioni 472.8 (karibu Sh trilioni moja) za kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika na kwa gharama nafuu, utatekelezwa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6RPnoNEAoPw/VW_kcg0kllI/AAAAAAAHb2Y/yBH6wndWFNA/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
MCC, 10 American Companies Explore Opportunities in Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-6RPnoNEAoPw/VW_kcg0kllI/AAAAAAAHb2Y/yBH6wndWFNA/s640/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi28 Sep
MCC yaiondolea kikwazo cha msaada Tanzania
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme
-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa
-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC
Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fsy21u9L88E/VgceAv81b-I/AAAAAAAH7Vg/sGC_tGtXOnY/s72-c/us.png)
STOP PRESS: DEVELOPMENT OF MCC COMPACT WITH TANZANIA TO CONTINUE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fsy21u9L88E/VgceAv81b-I/AAAAAAAH7Vg/sGC_tGtXOnY/s640/us.png)