Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mkataba mpya wa Tanzania, MCC utatekelezwa’

SERIKALI imeelezea imani yake kwamba Mkataba mpya baina ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), ili shirika hilo liweze kutoa Dola za Marekani milioni 472.8 (karibu Sh trilioni moja) za kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika na kwa gharama nafuu, utatekelezwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKATABA MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA EU UIMARISHE SEKTA ZA MAENDELEO


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akipeana mkono na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, baada ya kumaliza kwa mkutano kuhusu ushirikiano wa maendeleo ya kiuchumi, uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.


Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, akizungumza kuhusu uboreshaji wa miundombinu ili kuchochea biashara, wakati wa kikao na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb)...

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka

-       Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

 Zitto Kabwe, Mb

Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...

 

9 years ago

Habarileo

MCC yaifagilia Tanzania

SHIRIKA la Changamoto za Milenia (MCC), limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania imefanya mageuzi muhimu ambayo ni sehemu ya maandalizi ya utekelezaji wa kuipatia nchi mkataba wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 472.8, sawa na zaidi ya Sh bilioni 800.

 

9 years ago

Mtanzania

Tanzania kuvuna Sh bilioni 900 za MCC-2

unnamed (18)Washington, Marekani

 

TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa fedha za maendeleo kwa awamu ya pili kutoka Shirika la Maendeleo la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Dar es Salaam jana ilisema kutokana na hali hiyo, Tanzania itaanza kunufaika tena na mabilioni ya fedha baada ya wajumbe wa bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.

Makubaliano hayo,...

 

10 years ago

Michuzi

MCC, 10 American Companies Explore Opportunities in Tanzania

On June 2, 2015, the U.S. Department of Energy’s Assistant Secretary for Fossil Energy, Christopher Smith, speaking with the Tanzanian Minister for Energy and Minerals, George Simbachawane (right). Seated between the Assistant Secretary and the Minister is Kamran Khan, the Millennium Challenge Corporation’s Vice President for Compact Operations. The meeting was part of a broader visit that included ten American companies exploring trade and investment in Tanzania’s energy sector....

 

9 years ago

Mwananchi

MCC yaiondolea kikwazo cha msaada Tanzania

Hatimaye Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) ya Marekani imeridhia kuipatia Tanzania msaada wa Dola 472.8 milioni (Sh992.8 bilioni), zilizokuwa zimezuiliwa kutokana na jitihada zisizoridhisha za kupambana na rushwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme

-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa

-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC

Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: DEVELOPMENT OF MCC COMPACT WITH TANZANIA TO CONTINUE

DAR ES SALAAM, TANZANIA – September 26, 2015.  The U.S. Government’s Millennium Challenge Corporation (MCC) has released a statement indicating that Tanzania will pass the FY 2016 Control of Corruption Indicator.  The statement is available below and on the MCC website here:  https://www.mcc.gov/news-and-events/release/pressstmt-092615-tanzania-passes-fy16-corruption-indicator

The $472.8 million compact, when approved by the Board, will promote increased access to reliable electricity in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani