‘Mkataba mpya wa Tanzania, MCC utatekelezwa’
SERIKALI imeelezea imani yake kwamba Mkataba mpya baina ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), ili shirika hilo liweze kutoa Dola za Marekani milioni 472.8 (karibu Sh trilioni moja) za kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika na kwa gharama nafuu, utatekelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-54-1024x683.jpg)
MKATABA MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA EU UIMARISHE SEKTA ZA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s640/1-54-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akipeana mkono na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, baada ya kumaliza kwa mkutano kuhusu ushirikiano wa maendeleo ya kiuchumi, uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-45-1024x683.jpg)
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, akizungumza kuhusu uboreshaji wa miundombinu ili kuchochea biashara, wakati wa kikao na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb)...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB06 Jul
Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
- Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Zitto Kabwe, Mb
Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...
9 years ago
Habarileo19 Sep
MCC yaifagilia Tanzania
SHIRIKA la Changamoto za Milenia (MCC), limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania imefanya mageuzi muhimu ambayo ni sehemu ya maandalizi ya utekelezaji wa kuipatia nchi mkataba wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 472.8, sawa na zaidi ya Sh bilioni 800.
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Tanzania kuvuna Sh bilioni 900 za MCC-2
Washington, Marekani
TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa fedha za maendeleo kwa awamu ya pili kutoka Shirika la Maendeleo la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Dar es Salaam jana ilisema kutokana na hali hiyo, Tanzania itaanza kunufaika tena na mabilioni ya fedha baada ya wajumbe wa bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.
Makubaliano hayo,...
9 years ago
Michuzi18 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6RPnoNEAoPw/VW_kcg0kllI/AAAAAAAHb2Y/yBH6wndWFNA/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
MCC, 10 American Companies Explore Opportunities in Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-6RPnoNEAoPw/VW_kcg0kllI/AAAAAAAHb2Y/yBH6wndWFNA/s640/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi28 Sep
MCC yaiondolea kikwazo cha msaada Tanzania
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme
-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa
-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC
Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fsy21u9L88E/VgceAv81b-I/AAAAAAAH7Vg/sGC_tGtXOnY/s72-c/us.png)
STOP PRESS: DEVELOPMENT OF MCC COMPACT WITH TANZANIA TO CONTINUE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fsy21u9L88E/VgceAv81b-I/AAAAAAAH7Vg/sGC_tGtXOnY/s640/us.png)