Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCC yaifagilia Tanzania

SHIRIKA la Changamoto za Milenia (MCC), limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania imefanya mageuzi muhimu ambayo ni sehemu ya maandalizi ya utekelezaji wa kuipatia nchi mkataba wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 472.8, sawa na zaidi ya Sh bilioni 800.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Tanzania kuvuna Sh bilioni 900 za MCC-2

unnamed (18)Washington, Marekani

 

TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa fedha za maendeleo kwa awamu ya pili kutoka Shirika la Maendeleo la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Dar es Salaam jana ilisema kutokana na hali hiyo, Tanzania itaanza kunufaika tena na mabilioni ya fedha baada ya wajumbe wa bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.

Makubaliano hayo,...

 

9 years ago

Habarileo

‘Mkataba mpya wa Tanzania, MCC utatekelezwa’

SERIKALI imeelezea imani yake kwamba Mkataba mpya baina ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), ili shirika hilo liweze kutoa Dola za Marekani milioni 472.8 (karibu Sh trilioni moja) za kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika na kwa gharama nafuu, utatekelezwa.

 

10 years ago

Michuzi

MCC, 10 American Companies Explore Opportunities in Tanzania

On June 2, 2015, the U.S. Department of Energy’s Assistant Secretary for Fossil Energy, Christopher Smith, speaking with the Tanzanian Minister for Energy and Minerals, George Simbachawane (right). Seated between the Assistant Secretary and the Minister is Kamran Khan, the Millennium Challenge Corporation’s Vice President for Compact Operations. The meeting was part of a broader visit that included ten American companies exploring trade and investment in Tanzania’s energy sector....

 

9 years ago

Mwananchi

MCC yaiondolea kikwazo cha msaada Tanzania

Hatimaye Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) ya Marekani imeridhia kuipatia Tanzania msaada wa Dola 472.8 milioni (Sh992.8 bilioni), zilizokuwa zimezuiliwa kutokana na jitihada zisizoridhisha za kupambana na rushwa.

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP

 Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimeipongeza timu ya Temeke kwa kutwaa Ubingwa wa Taifa Wanawake,baada ya kuifunga Pwani kwa bao 1-0,kwenye mchezo wa fainali uliopigwa jumapili ya Januari 31 kwenye dimba la Azam Complez huko Chamazi.  Katika fainali hiyo iliyohudhuriwa na waziri mwenye dhamana ya michezo Dk.Fenella Mukangara,imeshuhudiwa Temeke ikijipatia bao lake mnamo dakika ya 66 kupitia kwa mchezaji wao Neema Paul.  Temeke walifanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme

-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa

-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC

Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: DEVELOPMENT OF MCC COMPACT WITH TANZANIA TO CONTINUE

DAR ES SALAAM, TANZANIA – September 26, 2015.  The U.S. Government’s Millennium Challenge Corporation (MCC) has released a statement indicating that Tanzania will pass the FY 2016 Control of Corruption Indicator.  The statement is available below and on the MCC website here:  https://www.mcc.gov/news-and-events/release/pressstmt-092615-tanzania-passes-fy16-corruption-indicator

The $472.8 million compact, when approved by the Board, will promote increased access to reliable electricity in...

 

9 years ago

Global Publishers

Kauli ya Mbowe baada ya MCC kuzuia Trilioni 1 kwa serikali ya Tanzania

Mwenyekiti wa Chama chadema, Freema Mbowe. Muda mfupi baada ya Bodi ya MCC kutoa taarifa inayoonesha Tanzania haitapata msaada kutoka shirika hilo kama ilivyotarajiwa kwa ajili ya mwaka 2016, Mwenyekiti wa Chama  Chadema, Freema Mbowe ametoa kauli nzito juu ya suala hilo akisema kuwa kuchelewa kupatikana kwa fedha za MCC si tu kunachafua jina la nchi na hadhi yake katika medani za kimataifa, bali kutaathiri kwa kiasi kikubwa miradi yote iliyo chini ya ufadhili wa MCC. MCC imeahirisha msada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani