Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania sasa waondoa kusudio la kumg’oa Zziwa

Wabunge kutoka Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (Eala-TZ) wameondoa kusudio lao la kutaka kumng’oa Spika Margaret Natongo Zziwa kutoka Uganda kwa madai kuwa wamebaini hoja zilizojengwa kutimiza dhamira hiyo, hazina mashiko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NJAMA ZA MAKABURU KUMG'OA MKURUGENZI WA KONYAGI MGWASSA ZAGUNDULIKA

 Rais Jakaya Kikwete (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), maarufu kwa jina la Konyagi . David Mgwassa Kombe la ushindi wa mwaka wa uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) Jijini Dar es Salaam.Mwandishi Wetu
MKAKATI wa kumng'oa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi (TDL) David Mgwassa umebainika kutokana na kuwepo kwa njama zinazoendeshwa kwa siri na makaburu.
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi waondoa wamachinga Kariakoo

JESHI la Polisi limesema operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘wamachinga’ kwenye maeneo yasiyo rasmi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam imefanikiwa. Operesheni hiyo ilihusisha zaidi ya askari 200 wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Monduli waondoa hisia kuwa Sokoine aliuawa

Leo ni miaka 30 tangu aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Moringe Sokoine afariki kwa ajali ya gari eneo la Dumila mkoani Morogoro.

 

11 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KUSUDIO LA KUFUTIA USAJILI NGOs AMBAZO HAZIJAWASILISHA TAARIFA ZA MWAKA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO 

 

9 years ago

Michuzi

KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA

TAARIFA KWA UMMA


Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005. 
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Haters want me out: Zziwa

Embattled East Africa Legislative Assembly Speaker has blamed her suspension on the bloc’s secretary general, Dr Richard Sezibera.

 

10 years ago

The Observer

How Kidega took Zziwa job


IPPmedia
How Kidega took Zziwa job
The Observer
When Margaret Nantongo Zziwa was impeached on December 17 as speaker of the East African Legislative assembly (EALA) by a 36-to-2 vote, four other Ugandans lined up to take her place a day later. But the Uganda chapter at the assembly was given 48 ...
EALA fuss aided no oneEast African Business Week
Kidega Is the New Eala SpeakerCapital FM
Ugandan legislator Daniel KidegaCoastweek
www.worldbulletin.net -IPPmedia
all 50

 

10 years ago

GPL

SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA

HATIMAYE Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk. Margaret Zziwa (pichani) amesimamishwa wadhifa huo baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia kura. Apewa saa 24 kukabidhi ofisi ya bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani