Tanzania sasa waondoa kusudio la kumg’oa Zziwa
Wabunge kutoka Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (Eala-TZ) wameondoa kusudio lao la kutaka kumng’oa Spika Margaret Natongo Zziwa kutoka Uganda kwa madai kuwa wamebaini hoja zilizojengwa kutimiza dhamira hiyo, hazina mashiko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g85DtsY5K0I/Va_JLA_wJ0I/AAAAAAAA3-0/4w4MYCKnVlE/s72-c/td5%2B%25281%2529.jpg)
NJAMA ZA MAKABURU KUMG'OA MKURUGENZI WA KONYAGI MGWASSA ZAGUNDULIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-g85DtsY5K0I/Va_JLA_wJ0I/AAAAAAAA3-0/4w4MYCKnVlE/s640/td5%2B%25281%2529.jpg)
MKAKATI wa kumng'oa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi (TDL) David Mgwassa umebainika kutokana na kuwepo kwa njama zinazoendeshwa kwa siri na makaburu.
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Polisi waondoa wamachinga Kariakoo
JESHI la Polisi limesema operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘wamachinga’ kwenye maeneo yasiyo rasmi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam imefanikiwa. Operesheni hiyo ilihusisha zaidi ya askari 200 wa...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Monduli waondoa hisia kuwa Sokoine aliuawa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--J4roocGS4E/U7z-XnLRjZI/AAAAAAAFzv8/edwLNezyzOY/s72-c/download+(1).jpg)
TANGAZO LA KUSUDIO LA KUFUTIA USAJILI NGOs AMBAZO HAZIJAWASILISHA TAARIFA ZA MWAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/--J4roocGS4E/U7z-XnLRjZI/AAAAAAAFzv8/edwLNezyzOY/s1600/download+(1).jpg)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO
9 years ago
Michuzi31 Dec
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s72-c/tt.png)
KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s1600/tt.png)
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005.
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...
10 years ago
TheCitizen03 Dec
Haters want me out: Zziwa
10 years ago
The Observer22 Dec
How Kidega took Zziwa job
IPPmedia
The Observer
When Margaret Nantongo Zziwa was impeached on December 17 as speaker of the East African Legislative assembly (EALA) by a 36-to-2 vote, four other Ugandans lined up to take her place a day later. But the Uganda chapter at the assembly was given 48 ...
EALA fuss aided no oneEast African Business Week
Kidega Is the New Eala SpeakerCapital FM
Ugandan legislator Daniel KidegaCoastweek
www.worldbulletin.net -IPPmedia
all 50
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsDSQGvwHVyH1wI3pQJG9OVllH2-tBVRYdtkoGls3p4oVhM-Dyy1Ly6Ia*79**DfzeI79Ahw3g*d2*mG3pPSlz1/ZZIWA.jpg)
SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA