Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yapata Mabilioni ya pesa kusaidia maendeleo

Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou- Sabaa wakisaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali ya Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini Abidjan- Ivory coast. Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.Aly Abou – Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPATA BILIONI 24.1 TOKA JAPAN KUSAIDIA BAJETI YA SERIKALI

Wakati wizara ya fedha ikiendelea na majadiliano ya Bajeti ya Serikali mjini Dodoma, Serikali ya Japan imetoa kiasi cha Yen za Kijapani bilioni 1.5 ambazo ni sawa na shilingi bilioni 24.1 za kitanzania kutoka Serikali ya Japani kwa ajili ya shughuli za maendeleo hapa nchini.   Akizungumza katika hafla hiyo ya kutiliana saini, Waziri Mkuya aliishukuru Serikali ya Japani kwa kuwa na ushirikiano mzuri na Tanzania.  “Mkopo huu utachangia bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha wa 2014/2015, na...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha Mradi wa Maji katika Wilaya ya Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro..  Dr. Likwelile alisaini Mkataba huo kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya uchumi ya Afrika. Aliye wakilisha Benki hiyo ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Tanzania wakiwa tayari kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kushoto kwake ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa maendeleo wa Saudia.Fedha hizo zimetoka BADEA.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akitia saini makubaliano ya...

 

5 years ago

Michuzi

Pesa kidijitali: Njia nyingine kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya coronavirus

Toka kuingia kwa virusi vya coronavirus nchini njia mbalimbali zimechukuliwa na zinaendelea kuchukuliwa kuzuia kasi ya maambukizi.Taasisi za elimu zimefungwa, hoteli mbalimbali, mikusanyiko imezuiwa na kupungua kwa mfano Mapinduzi Day, na njia nyingi za kuelimisha umma zinafanyika kuhakikisha tunabaki salama. 
Juhudi pia zinafanyika kuhamasisha kuhusu matumizi ya fedha kijitali (kulipa, kutuma na kupokea pesa kwa njia ya simu). Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO),  njia hii ya kutuma,...

 

11 years ago

Mwananchi

NMB: Taasisi zijitokeze kusaidia maendeleo

Taasisi mbalimbali nchini zimeshauriwa kujitokeza kuchangia shughuli za maendeleo ili kuharakisha maendeleo nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Awataka wasomi kusaidia maendeleo ya kilimo

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela, Profesa Lugano Kusiluka amewataka wasomi na wanasayansi Afrika kutumia elimu na ujuzi wao kusaidia maendeleo katika sekta ya kilimo na viwanda ambayo ndiyo uti wa mgongo wa maendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ahimiza wasomi kusaidia maendeleo Chalinze

WASOMI wametakiwa kutumia elimu yao kukabili changamoto za kimaendeleo kwenye Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani.

 

10 years ago

Dewji Blog

#UNTZ: UNCDF kuendelea kusaidia kujenga uwezo wa kifedha kuhudumia maendeleo

DSC_0053

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka Wizara hiyo Dkt. Deogratius Mtasiwa, akizungumza kwenye mkutano wa watendaji waandamizi wa serikali kutoka katika Ofisi ya WaziriMkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) pamoja na waandishi wa habari kuhusiana na Programu ya Utafutaji Fedha Nchini kwa maendeleo ya wananchi (Global Local Finance Initiative (LFI) ambayo ilianza katika awamu ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wilaya ya Same na Mwanga yapata kiasi cha shilingi bilioni 56.10 kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait

DSCI0175

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait wakisubiri kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kulia kwake ni Bw. Abdulwahab A. Al- Bader ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani