TANZANIA YAPATA MEDALI YA FEDHA KATIKA MASHINDANO YA RIADHA, SWAZILAND
![](http://3.bp.blogspot.com/-FM5Urnf9BZE/VbcgjRpcGGI/AAAAAAAHsIk/O-0bGlRVTEA/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Mwanariadha wa Polisi Tanzania Fabian Nelson (kushoto) akishangilia na wanariadha wenzake kutoka Zimbabwer baada ya kuvalishwa medali ya fedha baada ya kushika nafasi ya pili katika mbio za kilomita 10000 katika uwanja wa Mavuso nchini Swaziland wakati wa Michezo ya majeshi ya polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika(SARPCCO) inayoendelea nchini Swaziland.nafasi ya kwanza na ya tatu ilikwenda kwa wanariadha kutoka Jeshi la Polisi la Zimbabwe(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi, Swaziland).
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AqZEobzNKkw/U7Ef-qzej0I/AAAAAAAFtmc/56JERmnRL40/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Wanamichezo waahidi kuleta medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola huko Glasgow, Scotland.
10 years ago
MichuziMTANZANIA ASHINDA MEDALI MBILI ZA DHAHABU SWAZILAND.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s72-c/New%2BPicture.png)
KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s1600/New%2BPicture.png)
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Doha kuandaa mashindano ya riadha 2019
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Kenya kuandaa Mashindano ya riadha 2017?
11 years ago
GPLMASHINDANO YA RIADHA YA TAIFA YAFANYIKA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BPItlj7qNxI/VJ2IdaM34iI/AAAAAAAG57c/KSj1C4BYq_8/s72-c/IMG_7765.jpg)
DK. SHEIN AFUNGUA MASHINDANO YA RIADHA ZANZIBAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BPItlj7qNxI/VJ2IdaM34iI/AAAAAAAG57c/KSj1C4BYq_8/s1600/IMG_7765.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRBSVl_jWDU/VJ2Ig9lAxLI/AAAAAAAG570/GiXU1sLm1Kk/s1600/IMG_7790.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s72-c/IMG_8354.jpg)
DK. SHEIN AFUNGA MASHINDANO YA RIADHA UWANJA WA AMAAN,ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s1600/IMG_8354.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2S3JWfGfVqE/VJ8XpGBNh5I/AAAAAAAG6FA/hc14ylXfDYU/s1600/IMG_8359.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s72-c/unnamed+(19).jpg)
RIADHA TABORA WAJIFUA KWA AJILI YA MASHINDANO YA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s1600/unnamed+(19).jpg)
Na Allan Ntana,Tabora
TIMU ya Riadha ya mkoa wa Tabora ipo katika mazoezi makali kujiandaa na mashindano ya Riadha Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki hii jijini Dar e s salaam.
Katibu wa chama hicho Mkoa wa Tabora Salum Tarraddady, alisema jumla ya...