Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yapiga hatua maendeleo ya uchumi

OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema Tanzania imepiga hatua katika maendeleo ya uchumi kwa nchi za Afrika Mashariki kutokana na  kupungua kwa mfumuko wa bei, hali inayoleta unafuu wa maisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SIHA YAPIGA HATUA KWA MAENDELEO


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, Ndaki Mhuli akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo, kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godson Ngomuo na Makamu Mwenyekiti Juma Juni.

*********************
HALMASHAURI ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, imetumia sh69 bilioni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mapato ya halmashauri, fedha za ruzuku za serikali kuu, michango ya wananchi na wadau wa maendeleo. 
Mkurugenzi...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPIGA HATUA KUGUNDUA WAGONJWA WA TB

Na. Catherine Sungura-Dodoma

Serikali kupitia wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto imeweza kupiga hatua kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kugundua wenye kifua kikuu(TB) nchini kwa ongezeko la asilimia 18.

Hayo yamebainishwa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Kinga Dkt. Leonard Subi wakati akifungua kikao cha mapitio na tathimini wa mpango wa taifa wa kudhibiti kifua kikuu na ukoma(NTLP) ambao unajumuisha wadau mbalimbali wa kifua kikuu nchini.

“Kikao hiki ni cha mapitio na tathimini...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi. 
 Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini. 
 Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...

 

10 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya uchumi wa China, Tanzania tujifunze nini? — 1

 Katika kipindi cha miaka 34, toka 1979 hadi 2012 Jamhuri ya Watu wa China imefanya maajabu ambayo hayajapata kutokea kwa nchi kubwa kukuza uchumi kwa wastani wa asilimia 10 kwa mwaka, kwa zaidi ya miaka 30.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanga yapiga hatua kielimu

WILAYA ya Mwanga mkoani Kilimanjaro imepiga hatua katika elimu, kutokana na juhudi kubwa inayofanywa na Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi. Mbunge wa Mwanga, Profesa Jumanne Maghembe, alisema hayo hivi karibuni alipozungumza na waandishi wa habari.

 

10 years ago

Mwananchi

EAC yapiga hatua utangamano wa kibiashara

Nchi Wananchama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimepiga hatua kubwa kuelekea utangamano miongoni mwao kwa kuridhia na kutekeleza mikataba na makubaliano mengi mwaka 2014 kulinganisha na mwaka juzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtwara yapiga hatua upatikanaji wa maji safi na salama

1

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu akiwakaribisha wajumbe wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasili mkoani humo kukagua miradi ya maji.

2

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akieleza lengo la ziara ya kamati hiyo mkoani Mtwara.

3

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi, akizungumza na wanahabari kuhusu ziara ya kamati hiyo ambayo inahitimishwa leo wilayani Masasi mkoani Mtwara.

4

Mhandisi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NEPAD YAPIGA HATUA KATIKA VIPAUMBELE VYAKE, DKT. MAYAKI

Picha ya pamoja ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika baada ya Mkutano wao kufunguliwa rasmi jijini Addis Ababa leo.

Na Ally Kondo, Addis AbabaKamati ya Uongozi ya NEPAD imekutana leo Jumatatu jijini Addis Ababa, Ethiopia kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali wa chombo hicho. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shuguli za NEPAD kwa mwaka 2014, Mtendaji Mkuu wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki alieleza kuwa Chombo hicho kimepiga hatua kubwa katika maeneo ya...

 

10 years ago

Michuzi

NEPAD YAPIGA HATUA KATIKA VIPAUMBELE VYAKE - DKT. MAYAKI

Picha ya pamoja ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika baada ya Mkutano wao kufunguliwa rasmi jijini Addis Ababa leo.
Na Ally Kondo, Addis AbabaKamati ya Uongozi ya NEPAD imekutana leo Jumatatu jijini Addis Ababa, Ethiopia kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali wa chombo hicho. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shuguli za NEPAD kwa mwaka 2014, Mtendaji Mkuu wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki alieleza kuwa Chombo hicho kimepiga hatua kubwa katika maeneo ya kipaumbele...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani