Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yashiriki Mkutano wa Baraza la Michezo la Kimataifa (General Assembly and Congress of the International Military Sports Council - CISM)

Na Luteni Kanali Juma Sipe  (PA, Marekani).   Tanzania imeshiriki Mkutano wa Baraza la Michezo la Kimataifa (General Assembly and Congress of the International Military Sports Council -CISM) uliofanyika Mjini Quito, Equado America ya Kusini kuanzia tarehe 05-09 Mei, 2014.  Mkutano huo ulijadili na kuendelea kusikilizana ushiriki wa majeshi katika Michezo ya Kimataifa chini ya Kaulimbiu ya Baraza hilo isemayo Urafiki kupitia Michezo (Friendship through sports), msisitizo ukiwa katika kutumia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA KUU LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)

Ujumbe wa Tanzania unaendelea kushiriki katika kikao cha Mkutano Mkuu wa Kumi na saba wa Shirikia la Hali ya Hewa Duniani (WMO-Congress 17), mijini Geneva, nchini Uswisi. Ujumbe huo umeshiriki katika matukio mbalimbali ya mkutano huo ikiwa ni pamoja na Dkt. Agnes Kijazi kushiriki katika siku ya Jinsia ya WMO (WMO Gender Day), kutoa mada zilizotoa uzoefu wa Tanzania wa utekelezaji wa program za utekelezaji wa programu ya utoaji wa huduma bora za hali ya hewa kwa jamii “Global Framework for...

 

10 years ago

Michuzi

TTCL YASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA WADAU WA MAWASILIANO

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na tekinolojia, Selina Lyimo akimkabidhi cheti cha shukrani, Mkuu wa Idara ya Mkongo wa Taifa, wa Kampuni ya TTCL, Adin Mgendi wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kimataifa ya siku mbili ya wadau wa mawasiliano wa mkongo huo iliyoanza jijini Dar es Salaam Julai 28, 2015.Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na tekinolojia, Selina Lyimo akimkabidhi cheti cha shukrani, Meneja...

 

10 years ago

Michuzi

HYUNDAI yashiriki Mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mitambo ya Ujenzi.

Meneja Mauzo wa Hyundai, Bw. Alen Nkya (kushoto) akijadiliana na Meneja Mradi wa Dangote Industries, Mhandisi Markus Abayo (kulia) kuhusu mitambo ya ujenzi ya kisasa katika Mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia uliofanyika Nairobi. Anayeshuhudia (katikati) ni Afisa Mikopo wa Hyundai, Bw. Manase Mpayo. Dangote Industries wanatumia mitambo ya Hyundai Excavator, Wheel Loader na Forklift katika miradi ya cement, n.k.

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015

 Muonekano wa Banda la Mahakama ya Tanzania likiwa katika Viwanja vya Julius Nyerere maarufu kama Viwanja vya Sabasaba, Mahakama ya Tanzania inashiriki katika Maonesho haya lengo likiwa ni kutoa fursa kwa wananchi kupata elimu juu ya taratibu mbalimbali za Mahakama ikiwa ni pamoja na kutoa Malalamiko pamoja na kupokea maoni ya jinsi ya kuboresha huduma ya utoaji haki nchini. Banda la Mahakama lipo mkabala na Banda la Zanzibar ndani ya viwanja vya Sabasaba. Katika Maonesho ya mwaka huu,...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA SANAA,UBUNIFU NA UTAMADUNI NCHINI OMAN

Shamra shamra za ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayofanyika Mascut nchini Oman.Waziri wa Kilimo na Mifugo wa Oman Dkt. Fuad bin Jaafar al Sajwan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Maonesho ya Mwezi mmoja ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayofanyika Mascut nchini Oman. Naibu Balozi wa Tanzania nchini Oman Juma Othman kulia akibadilishana mawazo na mmmoja ya Wajasiriamali kutoka Tanzania anayeshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA MAFUTA NA GESI

Pamoja na kuwepo kwa changamoto za kushuka kwa bei ya mafuta duniani, Tanzania bado imeendelea kuvutia wawekezaji kutoka pande zote za Dunia kuja kuwekeza katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi nchini.
Akiongea katika mkutano wa mwaka wa GE Oil & Gas, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene (MB) aliwaalika wawekezaji wakubwa kutoka pande zote za dunia kutembelea Tanzania na kuona nafasi za uwekezaji zilizopo.
Mkutano huo uliofanyika Florence, Italy uliwakutanisha wadau...

 

10 years ago

Michuzi

tanzania yashiriki mkutano wa sadc nchini zimbabwe

Baadhi ya Mawaziri na Manaibu Waziri kutoka wizara za Viwanda na Biashara, Fedha, Miundombinu na Uchukuzi wa Serikali ya Tanzania wakishiriki Mkutano wa Mawaziri wa Kamati Ndogo ya Mtangamano wa Kikanda wa Masuala ya uchumi unaojadili hatua ya utekelezaji wa mpango wa Maendeleo ya Viwanda kwa ajili ya Kanda ya SADC.Mkutano huo umefanyika leo katika hoteli ya Cresta Lodge mjini Harare nchini Zimbabwe. Baadhi ya Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu kutoka wizara ya Viwanda na Biashara,...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki katika mkutano wa 68 wa Shirika la Afya Duniani WHO

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.Seif S.Rashid (Mb) Ametoa hotuba katika mkutano wa Shirika la Afya Duniani(WHO), unaoendelea mjini Geneva,Uswisi.
Katika hotuba yake ameeleza masuala mbalimbali yaliyotekelezwa na yanayoendelea kutekelezwa hususani kufikiwa kwa lengo la milenia la kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano kiwango cha watoto 54 kati ya vizazi hai 1000.
vile vile utekelezaji wa mpango wa Afya ya msingi wa 2007-2017, lengo ni kuimarisha na kuhakikisha huduma za afya...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA KAMISHENI YA TAKWIMU YA UMOJA WA MATAIFA

Mkutano wa 46 wa Kamisheni ya Takwimu ya Umoja ya Mataifa umeingia katika siku ya pili ambapo wajumbe wa Kamisheni hiyo wanajadiliana na kupitisha maazimio mbalimbali yanayohusia na masula ya kitakwimu katika maeneo mbalimbali.

Mkutano huu ambao ni wa siku nne unafanyika katika kipindi ambacho Jumuiya ya Kimataifa inaendelea na jukumu kubwa la kuaanda na kukamilisha rasimu ya malengo mapya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 ( SDGs) mchakato ambao umekwisha ainisha jumla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani