TTCL YASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA WADAU WA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HrG8WWxRymk/VbhywQzueXI/AAAAAAAHsXk/x0J9NSQ0Wf0/s72-c/B1.jpg)
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na tekinolojia, Selina Lyimo akimkabidhi cheti cha shukrani, Mkuu wa Idara ya Mkongo wa Taifa, wa Kampuni ya TTCL, Adin Mgendi wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kimataifa ya siku mbili ya wadau wa mawasiliano wa mkongo huo iliyoanza jijini Dar es Salaam Julai 28, 2015.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na tekinolojia, Selina Lyimo akimkabidhi cheti cha shukrani, Meneja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_27111.jpg?width=650)
TTCL YASHINDA NAFASI YA KWANZA SEKTA YA HABARI NA MAWASILIANO MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7v4teNr4kaw/VNjfT4kIUEI/AAAAAAACzpU/BCFoUo-tkuI/s72-c/unnamed.jpg)
HYUNDAI yashiriki Mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mitambo ya Ujenzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7v4teNr4kaw/VNjfT4kIUEI/AAAAAAACzpU/BCFoUo-tkuI/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5BJXUDqt4w/VeA-fC6ywII/AAAAAAABfv4/LxTl6FpGSIA/s72-c/timu.jpg)
NSSF YASHIRIKI KWENYE MKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA KOROSHO MKOANI LINDI LEO
Katika Mkutano huo ambao NSSF imepata nafasi ya kutoa mada imewahimiza wadau hao waweze kujiunga na NSSF ili waweze kupata mafao bora yatolewayo na mfuko huo, Mafao hayo yakiwemo Matibabu bure, Kuumia Kazi, Uzazi kwa Kina mama , Mikopo kwa wanachama...
10 years ago
MichuziMkutano wa Kimataifa wa Tekinolojia ya Mawasiliano waanza jijini dar
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DCPC3p_dOC4/U27IKYtCYDI/AAAAAAAFg6s/GL5KmekN8wM/s72-c/image+(1).jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Baraza la Michezo la Kimataifa (General Assembly and Congress of the International Military Sports Council - CISM)
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Mbarawa afungua mkutano wa wadau waTEHAMA
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa akifungua mkutano wa siku mbili wa wadau wa Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) kutoka nchi za ukanda wa Bonde la ufa leo jijini Dar es salaam.
Na Eleuteri Mangi- Maelezo
Serikali imejenga mazingira mazuri kwa wawekezaji ili kuvutia makampuni mbalimbali kuwekeza kwenye sekta ya mawasiliano nchini.
Kauli hiyo imemtolewa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa alipokuwa akifungua mkutano...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EL_k2jjvoFg/U1f_DeBihJI/AAAAAAAFciY/HdoDVKv1uG8/s72-c/01.jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia afungua mkutano wa wadau wa TEHAMA Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-EL_k2jjvoFg/U1f_DeBihJI/AAAAAAAFciY/HdoDVKv1uG8/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVeEZ7AXqlA/U1f_IwWR6DI/AAAAAAAFcik/uBJu0370xkw/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oGlwYGI-qkc/U1f_HxmxZnI/AAAAAAAFcig/WaSAF1t4g24/s1600/03.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Mkutano wa wadau wa mawasiliano (Connect 2 Connect) wafanyika Dar es Salaam
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura akizungumza wakati wa ufungzi wa Mkutano wa Connect 2 Connect unafanyika katika Hotel ya Ramada jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo wa Kimataifa unafanyika kwa mara ya tatu hapa nchini ambao unawashirikisha wadau mbalimbali wa masuala ya mawasiliano, viongozi wa serikalini na taasisi binafsi, mawaziri kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, watoa huduma za mawasiliano na watengenezaji wa vifaa vya...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
TTCL yaahidi ufanisi mawasiliano vijijini
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imeahidi kutekeleza kwa ufanisi na kwa wakati zabuni iliyoshinda ya mradi wa kutoa huduma za mawasiliano vijijini. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Mkuu wa Masoko...