Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yatamba Zimbabwe

nyerere-with-ismaili-leaders

A rare photo of Arusha’s Ismaili leaders with Mwalimu Julius Nyerere taken during a community donation in the late 1960’s. (L to R) –The late Tanzanian President Julius Nyerere, Hashim Mbita, press secretary to the president, Akber Natha Hirji, a member of Ismaili regional council, Mukhi Kamrudin Hasham Jessa, Kamadia Madat Vassanji, and Moosa Janmohamed, also a member of the regional council headquartered in Moshi. The photo was taken at the guest house for the president in Arusha. The...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yatamba kung’ara Feasssa

Wakati pazia la michuano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) likifunguliwa asubuhi hii, makocha wa timu za Tanzania wamewatoa hofu mashabiki wakisema wamejipanga kubakisha ubingwa nyumbani.

 

10 years ago

Michuzi

bendera ya tanzania yatamba katika tamasha la afrifest marekani

Na Profesa Mbele
Jana, tarehe 1 Agosti, tamasha la Afrifest lilifanyika mjini Brooklyn Park, Minnesota. 
Hili ni tamasha ambalo huandaliwa mara moja kwa mwaka na bodi ya Afrifest Foundation ambayo mimi ni mwenyekiti wake. ili kuwakutanisha wa-Afrika, watu wenye asili ya Afrika waishio Marekani ya Kaskazini, Kati, na Kusini, pamoja na Caribbean, na pia watu wa mataifa mengine. Lengo kubwa ni kufahamiana, kuelimisha, na kuuenzi mchango wa watu weusi duniani kote, katika nyanja mbali mbali. 

Hiyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaibamiza Zimbabwe 1 - 0

Tanzania imeanza vizuri mechi ya awali ya kuania kufuzu kombe la mataifa la Afrika baada ya kufunga Zimbabwe 1 - 0.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Zimbabwe: Tanzania's Magufuli - a New African


IPPmedia
Zimbabwe: Tanzania's Magufuli - a New African
AllAfrica.com
JOHN Magufuli, the new President of the republic of Tanzania. What shall we call him? An African hero? Perhaps, but the trouble with the cliché African hero is that it refers, mostly, to a man frozen in collective nostalgia and maybes. An African hero ...
Can Magufuli convert potential into gains in Tanzania?NewsDay
Be thankful you are not in Malawi Dr Magufuli, President of TanzaniaNyasa Times
Uncovered rot a sign of...

 

10 years ago

Michuzi

tanzania yashiriki mkutano wa sadc nchini zimbabwe

Baadhi ya Mawaziri na Manaibu Waziri kutoka wizara za Viwanda na Biashara, Fedha, Miundombinu na Uchukuzi wa Serikali ya Tanzania wakishiriki Mkutano wa Mawaziri wa Kamati Ndogo ya Mtangamano wa Kikanda wa Masuala ya uchumi unaojadili hatua ya utekelezaji wa mpango wa Maendeleo ya Viwanda kwa ajili ya Kanda ya SADC.Mkutano huo umefanyika leo katika hoteli ya Cresta Lodge mjini Harare nchini Zimbabwe. Baadhi ya Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu kutoka wizara ya Viwanda na Biashara,...

 

11 years ago

Wildlife News

United States bans elephant trophies from Tanzania and Zimbabwe


Nature World News
United States bans elephant trophies from Tanzania and Zimbabwe
Wildlife News
The United States Fish and Wildlife Service (USFWS) on Friday announced a ban on the import of elephant trophies from Tanzania and Zimbabwe during the 2014 hunting season. The USFAWS has questioned whether there is sufficient monitoring of the ...
US bans imports of sport-hunted Zim elephant tusksNewsDay
US Issues Temporary Ban of Elephant Trophy Imports from Zimbabwe and ...Nature World News

all 3...

 

11 years ago

Coastweek

Zimbabwe honour Tanzania Mbita for regional liberation struggle


Zimbabwe honour Tanzania Mbita for regional liberation struggle
Coastweek
DAR ES SALAAM (Xinhua) -- Zimbabwean authorities have handed over a cheque for 100,000 U.S. dollars to Hashim Mbita, Tanzania's retired army general in recognition of his contribution to southern Africa's liberation struggle. Zimbabwean President ...

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yatamba kutumbua majipu

image17NA ADAM MKWEPU

UONGOZI wa Yanga umetamba kuendelea kutumbua majipu katika Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuhakikisha wanashinda michezo yake mbalimbali ya ligi hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,  Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro, alisema kuwa  wamejiandaa kupata ushindi dhidi ya Stand United katika mchezo wao utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, licha ya ‘figisufigisu’ wanazoendelea kufanyiwa na  wapinzani wao.

“Tutaendelea kutumbua majipu, licha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani