Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIMBABWE‏ VS TANZANIA KUONYESHWA LIVE NA AZAM TV

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FASTJET YAFADHILI ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE‏

Pichani ni Mhudumu wa Mapango ya Chinhoyi Cephas Sithole akitoa maelezo kwa timu ya waandishi wa habari waliombatana na wadau wa utalii kutoka nchini Afrika Kusini kwenye ziara hiyo ya kutembelea vivutio vya utalii nchini Zimbabwe katika mapango Chinhoyi.(Picha zote na Zainul Mzige). Mungoza watalii katika mapango ya Chinhoyi katika mkoa wa Chinhoyi nchini Zimbabwe, Aleck Makumire akitoa maelezo wa timu ya waandishi wa habari...

 

10 years ago

GPL

DCB COMMERCIAL BANK WADHAMINI MASHINDANO YA TANZANIA BANKERS & PUBLIC FUNDS CUP‏‏

 Mkurugenzi Mtendaji  wa DCB  Commercial Bank Plc  Bw. Edmund Mkwawa (wa tatu kutoka kulia) na wa pili kutoka (kulia) ni Mkurugenzi Mkuu wa My way Entertainment Paul Mganga,wa Kwanza (kulia) ni Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya Tanzania Bankers and Public Funds Cup 2015 David Manoti, wa pili  (Kushoto) Samweli Mahendeka Agency Banking Manager ambaye pia ni Kapteni wa Timu ya Benki ya DCB wa tatu (kushoto) ni...

 

10 years ago

Michuzi

DCB COMMERCIAL BANK WADHAMINI MASHINDANO YA TANZANIA BANKERS & PUBLIC FUNDS CUP‏‏‎

 Mkurugenzi Mtendaji  wa DCB  Commercial Bank Plc  Bw. Edmund Mkwawa akiongea na Waandishi wa Habari Makao makuu ya Benki ya  DCB Benki ya DCB imethibitisha kushiriki katika Mashindano ya  Tanzania Bankers and Public Funds Cup 2015, hayo yalisemwa  na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bwana Edmund Mkwawa akiongea na waandishi wa Habari , alisema  Timu yao tayari imesha anza kufanya mazoezi ya kujiandaa na mashindano hayo tangu mwezi wa pili mwaka huu 2015 na kuwa timu ipo katika hari nzuri...

 

11 years ago

GPL

DAR LIVE ILIVYORINDIMA NA MITIKISIKO YA PWANI JANA‏

Mkongwe wa muziki wa Taarab, Malkia Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki wa muziki huo waliofurika katika ukumbi wa Dar Live kwenye tamasha maalum la Taarab lililoandaliwa na kituo cha Redio ya Times FM na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania. Mwimbaji wa bendi ya Five Stars Modern Taarab, Ali Jay akikonga nyoyo za mashabiki waliofurika katika Tamasha la Muziki wa Taarab lililoandaliwa na… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mechi kuonyeshwa runingani mara ya kwanza Somalia

Mechi ya mpira wa kandanda ya klabu za nyumbani itapeperushwa moja kwa moja kupitia runinga kwa mara ya kwanza katika historia ya Somalia leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani