Tanzanian Heartthrob Showers Praise On Sauti Sol. Find Out Why
Sauti Sol has been making headlines for all the good reasons lately and their success has not gone unnoticed.
The group has landed a nomination to the BET Awards and this has greatly excited Tanzanian singer Ommy Dimpoz who has taken to his social media account to shower praise on the group.
He says he wishes them all the best for the nomination and wants them to bring the award to East Africa.
This is what he posted:
ommydimpoz Congratulation to My kenyan Brothers @sautisol for their BET AWARDS...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen07 Feb
Govt showers aga khan network with praise
9 years ago
Mwananchi28 Nov
AY, Diamond na Sauti Sol we acha tu!
9 years ago
Bongo504 Jan
New Video: Sauti Sol – Relax
![relax](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/relax-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya liliumaliza mwaka 2015 likiwa limepeleka sokoni album yao ya tatu, ‘Live and Die in Africa’ ambayo ina mkusanyiko wa hits zao zilizotoka na ambazo hazijatoka. Sauti wanaukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuachia video mpya ya ‘Relax’, wimbo unaopatikana kwenye album hiyo. Itazame hapa
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Sauti Sol washangazwa na mashabiki Marekani
NEW YORK, MAREKANI
KUNDI la Sauti Sol kutoka nchini Kenya, juzi lilijikuta likishangazwa na idadi kubwa ya watu katika jiji la New York nchini Marekani, kabla ya onyesho lao katika ukumbi wa Central Park nchini humo.
Sauti Sol wako nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la kimataifa la Global Citizen linalowakutanisha wasanii mbalimbali ambapo watu zaidi ya 60,000 wanakadiriwa walihudhuria tamasha hilo.
Tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kukuza elimu, kutetea haki za wakimbizi na kujadili...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Sauti Sol kutafuta wachumba Tanzania
Nairobi, Kenya
KUNDI linalofanya vizuri na wimbo wao wa ‘Nerea’ kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, limetangaza kutafuta wachumba wa kuoa nchini Tanzania, huku wakiwaomba radhi wasichana wa Kenya.
“Samahani kwa wasichana wa nchini Kenya kutokana na maamuzi yetu ya kutaka kuoa huku Tanzania. Dar es Salaam? Kwa sasa tunatafuta warembo wa kuwaoa,” waliandika wasanii hao kupitia akauti yao ya Twitter.
Wasanii hao kwa sasa wanafanya vizuri nchini humo na wamefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali nje ya...
9 years ago
Habarileo15 Aug
Sauti Sol watua, kutumbuiza leo
KUNDI mahiri la muziki nchini Kenya la Sauti Sol jana liliwasili nchini tayari kwa onesho kabambe la muziki la Party in the Park litakalofanyika kwenye viwanja vya Farasi nyuma ya shule ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo17 Aug
Sauti Sol, Mafikizolo wakonga Dar
KUNDI la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini pamoja na kundi la Sauti Sol kutoka Kenya juzi walizikonga nyoyo za mashabiki wao katika tamasha la Party in the Park lililofanyika Oysterbay, Dar es Salaam.