Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANITE KUWAFUATA YOUNG SHE-POLOPOLO KESHO

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 20 (Tanzanite) wanatarajiwa kuondoka kesho jumatano asubuhi kwa Rwanda Air kuelekea nchini Zambia kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Young She-Polopolo.
Tanzanite inayowania kufuzu kwa Fainali za Kombe Duniwa mwaka 2016 nchini Papua New Guinea, itacheza mchezo huo wa marudano siku ya jumamosi tarehe 25 Julai, jijini Lusaka.
Katika mchezo wa awali uliofanyika takribani wiki mbili zilizopita, Tanzanite ilipoteza mchezo wake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANZANITE KUWAKABILI YOUNG SHE-POLOPOLO JUMAMOSI

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 20 (Tanzanite) itashuka dimbani siku ya jumamosi katika uwanja wa Azam Complex kucheza na timu ya U20 ya Zambia (The Young She-polopolo) katika mchezo wa kwanza kuwania kufuzu kwa fainali za U-20 za Dunia mwaka 2016.
Mechi kati ya Tanzanite dhidi ya Young She-Polopolo kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake chini ya miaka 20 itachezwa katika uwanja wa Azam Complex - Chamazi majira ya saa 10 kamili jioni.
Kikosi...

 

10 years ago

Michuzi

STARS KUWAFUATA MISRI KESHO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premier Lager, kesho siku ya ijumaa jioni inatarajiwa kuondoka Addis Ababa Ethiopia kuelekea nchini Misri tayari kwa mchezo wa siku ya jumapili.
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi ni...

 

10 years ago

Vijimambo

TAIFA STARS KUWAFUATA MISRI KESHO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premier Lager, kesho siku ya ijumaa jioni inatarajiwa kuondoka Addis Ababa Ethiopia kuelekea nchini Misri tayari kwa mchezo wa siku ya jumapili. 
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu. 
 
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi...

 

10 years ago

Bongo5

Young Dee: Tetesi ya kula unga itanitesa mpaka kesho

Rapper Young Dee amedai kuwa skendo ya kuwa aliwahi kuvuta unga inaendelea kumtesa hadi sasa. Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi TV cha EATV, Young Dee alidai kuwa alivunjika moyo zaidi baada kuulizwa na watu wake wa karibu ambao hakutegemea kama wanaweza kumuuliza swali hilo. “Unajua story nyingi zimeibuka kuhusu mimi, mimi story kubwa inanitesaga mpaka […]

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Bx ft Mr Blue, Nyandu Toz & Young Dee – Kesho

Hii ni Video Mpya kutok akwa rapper Bx akiwa amewashirikisha Mr Blue,Nyandu Toz na Young Dee ngoma inaitwa “Kesho” Video imeongozwa na Nick Dizzo

 

10 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Twiga Stars kuikabili She-polopolo

Twiga Stars,itashuka dimbani kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuwakarisbisha timu ya taifa Zambia 'The She-Polopolo'.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani