Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAS walia kubaguliwa katika ajira

WATU wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wameilalamikia serikali na mashirika binafsi kwa kukosa fursa za ajira kama ilivyo kwa watu wengine. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pentekoste walia kubaguliwa

BAADHI ya taasisi za kidini, wanaharakati na watu binafsi, wamepinga vikali uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, huku Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi walia kubaguliwa Bunge Maalumu la Katiba

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA), kesho kitafanya maandamano kwa ajili ya kupinga uteuzi wa Bunge maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kushindwa kuteua mwakilishi kutoka katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Walemavu wanabaguliwa katika ajira’

UTAFITI nchini umeonyesha nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Utafiti huo ulifanywa na Taasisi ya Twaweza ni Sisi na kuonesha kuwa wananchi hao wameripoti...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel yadai kubaguliwa na Palestina

Israel imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na wawakiishi kutoka umoja wa ulaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walalamika kubaguliwa Bunge la Katiba

WADAU wa afya wameeleza kusikitishwa kwa kutotambuliwa kwa haki ya afya kama haki ya msingi ya kila mwananchi kwenye rasimu ya katiba mpya. Tamko hilo lilitolewa na Sikika, Chama cha...

 

9 years ago

Michuzi

TAHADHALI YA UTAPELI KATIKA AJIRA YA POLISI

Katika siku za hivi karibuni, kumeibuka mtandao wa matapeli wanaojipatia fedha kutoka kwa wananchi kwa udanganyifu kwamba watawapatia ajira ndani ya Jeshi la Polisi hasa katika kipindi hiki ambacho Jeshi la Polisi lipo katika mchakato wa ajira.

Kufuatia hali hiyo, Jeshi la Polisi nchini linatoa tahadhari kwa  wananchi wote kuwa makini na mtandao wa matapeli hao na kwamba, mfumo wa ajira ndani ya Jeshi la Polisi ni wa wazi na unafuata taratibu na kanuni za Jeshi la Polisi, hivyo, Vijana wote...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya kuzingatia katika mkataba wa ajira

Kama ilivyo kwa mikataba mingine, uhalali wa mkataba ni lazima ujengwe katika nguzo kuu tano ambazo ni makubaliano, hiari ya kuingia mkataba, malipo halali, uwezo wa kuingia mkataba pamoja na uhalali wa shughuli yenyewe itakayofanyika.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusuluhisha mgogoro katika ajira

Binadamu tuna tabia mbalimbali. Kuna wavumilivu, kuna wanaopenda kuelimisha wenzao, lakini pia kuna wengine wana hasira za haraka, hutenda bila kufikiri wala kufuata hatua. Waajiri na wajiriwa nao ni miongoni mwa binadamu, kwa hiyo haya yote wanaweza kuyafanya na wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira

Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, imeitaka Serikali kusimamia upatikanaji wa ajira zao zilizoporwa na kupewa wageni katika ‘rig’ meli kubwa zinazofanya kazi ya utafiti na uchimbaji mafuta na gesi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani