Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pentekoste walia kubaguliwa

BAADHI ya taasisi za kidini, wanaharakati na watu binafsi, wamepinga vikali uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, huku Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TAS walia kubaguliwa katika ajira

WATU wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wameilalamikia serikali na mashirika binafsi kwa kukosa fursa za ajira kama ilivyo kwa watu wengine. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi walia kubaguliwa Bunge Maalumu la Katiba

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA), kesho kitafanya maandamano kwa ajili ya kupinga uteuzi wa Bunge maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kushindwa kuteua mwakilishi kutoka katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ikulu yawakana Pentekoste

SIKU chache baada ya Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste Tanzania (PCT) kulalamikia mapendekezo ya Bunge Maalumu la Katiba, serikali imesema Baraza hilo halijawasilisha maombi ya kutaka uwakilishi katika bunge hilo....

 

10 years ago

Mwananchi

Kanisa la Pentekoste lanusurika kuteketezwa

Kanisa la Pentekoste Tanzania Usharika wa Tandika, Manispaa ya Temeke limenusurika kuteketezwa kwa moto. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita na mtuhumiwa alikamatwa na kufikishwa Kituo Kikuu cha Polisi Chang’ombe.

 

11 years ago

Habarileo

Pentekoste wamtaka JK awakumbuke Bunge la Katiba

Askofu Mkuu wa PCT, David BatenziBARAZA la Maaskofu wa Kanisa la Pentekoste Tanzania (PCT) limemwomba Rais Jakaya Kikwete awafikirie kuwapa nafasi za uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba litakaloanza siku sita zijazo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walalamika kubaguliwa Bunge la Katiba

WADAU wa afya wameeleza kusikitishwa kwa kutotambuliwa kwa haki ya afya kama haki ya msingi ya kila mwananchi kwenye rasimu ya katiba mpya. Tamko hilo lilitolewa na Sikika, Chama cha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel yadai kubaguliwa na Palestina

Israel imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na wawakiishi kutoka umoja wa ulaya

 

5 years ago

Michuzi

BARAZA LA MAKANISA YA PENTEKOSTE WAUNGANA NA SERIKALI MOROGORO

Na Farida Saidy,Morogoro
Baraza la Makanisa ya Pentekoste Tanzania (CPCT) Mkoa wa Morogoro wameungana na jitihada za Serikali ya Mkoa huo kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni moja za kitanzania ikiwa ni mchango wao katika kupambana na ugonjwa wa CORONA Mkoani humo.
Viongozi wa CPCT wametoa msaada huo wa fedha mwishoni mwa wiki hii walipofika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kumkabidhi fedha hizo Mkuu wa Mkoa huo Loata Ole Sanare kama ishara ya kumuunga Mkono na Serikali ngazi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Strabag wagoma kwa kubaguliwa

WAFANYAKAZI wa Kampuni inayojihusisha  na  ujenzi wa barabara ya  mradi wa mabasi  yaendayo haraka (BRT)  ya Strabag, jana wamegoma kufanya kazi kutokana na kubaguliwa katika malipo  ya stahili  na posho....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani