TASAF YAIBUKA KIDEDEA KATIKA UZINGATIAJI WA TARATIBU ZA MANUNUZI (2013/14)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqMhndLu04/VHN9fzVl7XI/AAAAAAACvQQ/hETViTjiqdE/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini TASAF umekuwa Mshindi wa kwanza miongoni mwa taasisi za serikali na mashirika ya umma yanayofanya manunuzi makubwa nchini na hivyo kutunukiwa tuzo ya uzingatiaji wa taratibu na kanuni za manunuzi kwa kipindi cha mwaka 2013/2014.
TASAF imekuwa miongoni mwa taasisi zilizoshinda tuzo ya ubora wa manunuzi kwa nchi za Afrika Mashariki kwa mwaka 2013/2014 na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika mjini Nairobi nchini Kenya ambako Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LddMXHqh6d0/VZja9NFJtMI/AAAAAAAHnBE/RgbvpLNeljk/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
SUMAJKT YAIBUKA KIDEDEA KATIKA SEKTA YA KILIMO, SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LddMXHqh6d0/VZja9NFJtMI/AAAAAAAHnBE/RgbvpLNeljk/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
WATEMBELEE KATIKA BLOGU YAO www.sumajkt.blogspot.com na pia TOVUTU YAO www.sumajkt.go.tz
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Tume ya Utumishi wa Umma yaendelea kuimarisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu za masuala ya ajira
Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Neema Tawale akieleza kwa waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu tathmini ya Tume juu ya uzingatiaji wa sheria,kanuni na taratibu za masuala ya ajira katika utumishi wa uuma, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo Bw. John Mbisso.
Kaimu Katibu Msaidizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bw. John Mbisso akiongea na waandishi wa (Hawapo pichani) kuhusu...
10 years ago
VijimamboCRDB YAIBUKA KIDEDEA KATIKA TUZO ZA NBAA UPANDE WA MABENKI
*********
Mashirika binafsi ,taasisi na idara mbalimbali za serikali zimehimizwa kushiriki katika mashindano ya tuzo zinazotolewa na bodi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E2xl-p4U6FE/U-m33rmaSvI/AAAAAAAF-0M/kl0FtnLqvsE/s72-c/unnamed.jpg)
Tigo yaibuka kidedea katika sherehe za Nanenane mkoani Lindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-E2xl-p4U6FE/U-m33rmaSvI/AAAAAAAF-0M/kl0FtnLqvsE/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PEuGV1ylMeY/U-m311_eaVI/AAAAAAAF-0E/bcTZq9YGczI/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea
11 years ago
Mwananchi03 Feb
CCM yaibuka kidedea Kiembesamaki
9 years ago
Mwananchi23 Nov
CCM yaibuka kidedea Ulanga
9 years ago
VijimamboCCM YAIBUKA KIDEDEA JIJINI MWANZA
Na George Binagi-GB PazzoMgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza ameibuka mshindi wa kiti cha Ubunge katika jimbo hilo kwa kupata kura 81,017 na hivyo kumbwaga aliekuwa mbunge wa jimbo hilo Ezekiel Wenje kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema aliepata kura 79,280.Matokeo hayo yalitangazwa na Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jimboni humo ambae pia ni Kaimu...