Tigo yaibuka kidedea katika sherehe za Nanenane mkoani Lindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-E2xl-p4U6FE/U-m33rmaSvI/AAAAAAAF-0M/kl0FtnLqvsE/s72-c/unnamed.jpg)
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal (kulia) akimzawadia tuzo Meneja wa Tigo Kanda ya Kusini Bw. Daniel Mainoya pale kampuni hiyo ya simu ilipoibuka mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Lindi.
Bw. Daniel Mainoya na mfanyakazi mwenzake Joe wakionyesha cheti cha ushiriki pamoja na kombe la mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane kitaifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Tigo yaibuka kidedea Nanenane mkoani Lindi
Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal (kulia) akimzawadia tuzo Meneja wa Tigo Kanda ya Kusini Bw. Daniel Mainoya pale kampuni hiyo ya simu ilipoibuka mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Lindi.
Mainoya na mfanyakazi mwenzake Joe wakionyesha cheti cha ushiriki pamoja na kombe la mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane kitaifa yaliyomalizika hivi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ij09w8YODhI/Uu9gHR01JqI/AAAAAAAFKmk/-Z-lE4pgl-Q/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Mama Kikwete katika sherehe za kutimiza miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani lindi
![](http://3.bp.blogspot.com/-ij09w8YODhI/Uu9gHR01JqI/AAAAAAAFKmk/-Z-lE4pgl-Q/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PtlX2mNp2Oc/Uu9gE4xpOgI/AAAAAAAFKlw/QAbrRTeSqAA/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qihkaSIs2eI/Uu9gCVNZSsI/AAAAAAAFKlA/DLahg4M9p2A/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9zdgFBWMdU/Uu9gDX7dXzI/AAAAAAAFKlc/cDuS27lMro8/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Benki ya Maendeleo ya Kilimo yashiriki Nanenane Kitaifa mkoani Lindi
Mmoja wa wafanyakazi wa benki ya Maendeleo ya Wakulima, Geofrey Mtawa akizungumza na moja ya wadau waliotembelea banda lao katika maonyesho ya Nanenane.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania inashiriki maonesho ya kilimo ya Nanenane kitaifa kwa mara ya kwanza mkoani Lindi mwaka huu kwa lengo la kutambulisha huduma zake kwa wadau wake wakuu, wakulima.
Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa rasmi jana jumanne na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda, benki hiyo inatoa...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) yafanya Bonanza la Nanenane mkoani Lindi
Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bi. Miriam Mtima akizungumza wakati wa kufungua bonanza la Nanenane lilioandaliwa na benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB), jana mkoani Lindi.
Mkurugenzi wa Mikopo wa benki ya Maendeleo ya Wakulima, Bwana Robert Paschal akitoa hotuba ya ufunguzi wakati wa uzinduzi wa bonanza la Nanenane katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi jana.
Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bi Miriam Mtima akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa bonanza la...
11 years ago
Michuzi06 Aug
PSPF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE MKOANI LINDI KWA MAFANIKIO
BALOZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, MRISHO MPOTO “MJOMBA” AKIFURAHIA JAMBO NA MENEJA MASOKO WA PSPF, RAHMA NGASSA WAKATI AKITOA BURUDANI KWENYE MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE MKOANI LINDI.
10 years ago
Michuzi03 Aug
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA NIC LASHIRIKI MAONYESHO YA NANENANE MKOANI LINDI
![ni7](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/ni7.jpg)
Mkurugenzi wa Bima za Maisha Shirika la Bima la Taifa NIC Bi. Rose Lawa wa pili kutoka kulia na Elisante Maleko Kaimu Mkurugenzi wa masoko na Huduma kwa wateja kushoto pamoja na maofisa wengine wa shirika hilo wakiwa wakiwa na baadhi ya wateja waliojipatia bima ya maisha ya elimu ya katika banda lao kwenye maonyesho ya Nanenane yanayoendelea mkoani Lindi shirika hilo linashiriki katika maonyesho hayo.
![ni5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/ni5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LddMXHqh6d0/VZja9NFJtMI/AAAAAAAHnBE/RgbvpLNeljk/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
SUMAJKT YAIBUKA KIDEDEA KATIKA SEKTA YA KILIMO, SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LddMXHqh6d0/VZja9NFJtMI/AAAAAAAHnBE/RgbvpLNeljk/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
WATEMBELEE KATIKA BLOGU YAO www.sumajkt.blogspot.com na pia TOVUTU YAO www.sumajkt.go.tz
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqMhndLu04/VHN9fzVl7XI/AAAAAAACvQQ/hETViTjiqdE/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TASAF YAIBUKA KIDEDEA KATIKA UZINGATIAJI WA TARATIBU ZA MANUNUZI (2013/14)
TASAF imekuwa miongoni mwa taasisi zilizoshinda tuzo ya ubora wa manunuzi kwa nchi za Afrika Mashariki kwa mwaka 2013/2014 na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika mjini Nairobi nchini Kenya ambako Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10