TASWIRA MBALI MBALI ZA MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-y2ApLpP0x44/VcBakASTsII/AAAAAAAHtus/W2KpzlTPmWo/s72-c/01.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Lindi na Kilwa Mwal. Mariam R. Mtima (wa kwanza kushoto) akimsikiza Afisa Masoko na Uhusiano wa Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundo Mbinu (UTTPID) Kilave Atenaka (wa pili kulia) wakati mkuu huyo wa wilaya alipotembelea banda la taasisi hiyo leo katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi. Kauli mbiu ya Manesho ya Nane Nane mwaka huu ni “Matokeo Mkubwa Sasa, Tuchague Viongozi Bora kwa Maendeleo ya Kilimo na Ufugaji”.
Afisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R7UFLnsmqac/VckfudLZBFI/AAAAAAAHv9g/N6MynHJPqL0/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
NHIF WAIBUKA WASHINDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-R7UFLnsmqac/VckfudLZBFI/AAAAAAAHv9g/N6MynHJPqL0/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda kufungua Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi Agosti 3, mwaka huu
Lindi kumekucha, pilikapilika za maandalizi ya Maonyesho ya Nane Nane kitaifa mwaka huu zimepamba moto ambapo Mgeni Rasmi katika maonesho hayo yatakayofunguliwa Jumatatu Agosti 3, 2015 anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda. Maonyesho hayo ya mwaka huu yanaongozwa na kauli mbiu “Matokeo Mkubwa Sasa, Tuchague Viongozi Bora kwa Maendeleo ya Kilimo na Ufugaji”.
Mratibu wa Maonyesho ya Nane Nane kutoka wilaya ya Newala Ado Kiwangu akiwaonesha na...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-3otnWmkXzUg/VcXGQtbnXbI/AAAAAAABkS0/4YAznMNHqak/s640/utt2.jpeg)
UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE - LINDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1z1NYfub2hw/U-CyF4MQiwI/AAAAAAAF9PU/rDPjIn2jQmg/s72-c/ppf_Lindi+88+(2).jpeg)
PPF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAKULIMA NANE NANE LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-1z1NYfub2hw/U-CyF4MQiwI/AAAAAAAF9PU/rDPjIn2jQmg/s1600/ppf_Lindi+88+(2).jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WAHis9HjHs4/U-CyF-DdpFI/AAAAAAAF9PY/Y1rG2HEjKH8/s1600/ppf_Lindi+88+(3).jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QAtQHlWOJNA/U-CyG-IGZgI/AAAAAAAF9Pg/dJOpdEBXBMo/s1600/ppf_Lindi+88+(4).jpeg)
10 years ago
MichuziUTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE - LINDI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bNwxqhh7d5I/VcDmdja0SDI/AAAAAAAAXEU/TjNeL9BF_Pw/s72-c/IMGS7391.jpg)
PINDA AFUNGUA MAONYESHO YA NANE NANE HUKO LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-bNwxqhh7d5I/VcDmdja0SDI/AAAAAAAAXEU/TjNeL9BF_Pw/s640/IMGS7391.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-stjrAUxnTGc/VcDmf5B7BRI/AAAAAAAAXEg/NFVw57GIllA/s640/IMGS7442.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--ZBWtv0mhQo/VcDmf1HmhZI/AAAAAAAAXEc/xDo149wb9yU/s640/IMGS7426.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s72-c/unnamed+(36).jpg)
Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6nVvwS9PIq4/U9u5TeoOTaI/AAAAAAAF8Sg/4Crj6kBSF74/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l03LjZXQ9eA/U9u5Tggyw8I/AAAAAAAF8Sc/t9lhVBwxdp0/s1600/unnamed+(38).jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita
Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...
11 years ago
GPL