Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA MBALIMBALI ZA TIGO MUSIC LILILOFAFANYIKA LEADERS CLUB

 Christian Bella akiwa jukwaani na bendi yake ya Malaika Malaika kazini... hawa ndio Yamoto Band... ..kama kawaida, Mkubwa na wanawePicha kwa hisani ya Mdimuz blog.na kwa picha zaidi na maelezo bofya soma zaidi Myo,i lililokubali... Aslay katika mzuka wake Linah Sanga Shilole alikuja akiwa ameongeza dansa Salaam kwa mashabiki Raha sio rahaaaaaa?!! Agah.... Ikaja zamu ya Vanessa Mdee Naye akapiga show yake vizuuuuuri Whats Up, whats up, what's Up...


 barnabas Classic alipanda jukwaani kumpa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KHADIJA KOPA NDANI YA KILI MUSIC TOUR 2014 LEADERS CLUB

Mwimbaji wa Taarab, Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour 2014 jijini Dar. Mnenguaji wa Khadija Kopa akifanya yake stejini.…

 

10 years ago

GPL

BURUDANI ZA KILI MUSIC TOUR NDANI YA LEADERS CLUB JIJINI DAR USIKU HUU

Bendi ya Mapacha Watatu ikifanya mambo ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour.…

 

10 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali kutoka mikoani


Vijana wakitoka kukata nyasi kwa ajili ya mifugo huko Kaliua mkoani Tabora ikiwa ni sehemu ya biashara yao 
Kijana Ephrahim Maksoni akipita  juu ya reli kwa  baiskeli maeneo ya Nguruka Mkoani KigonaAbiria wakiteremka toka ndani ya Basi la Saratola likitokea Nguruka kwenye kituo kipya cha mabasi kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma
 Wafanya biashara wa chumvi wakiwauzia abiria waliokuwa wakisafiri na basi lililokuwa likitoka Nguruka kuelekea Kigoma  Wakichota maji eneo  katika kituo cha mabasi...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI JIJINI DAR

Hizi ni baadhi ya Taswira mbalimbali ndani ya jiji la Dar es Salaam.BOFYA HAPA KUONA TASWIRA ZAIDI

 

11 years ago

TheCitizen

Mwanza club finally gets new leaders

Mwanza volleyball big guns, Bank of Tanzania (BoT) Club, have ushered in a new team of officials in an election held in Mwanza early this week. John Walter was elected as the club’s chairman, while the vice-chairman post was won by Musa Haruna and David Kakono was elected to the secretary post. Rose Sangu won the treasurer’s post.

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI JIJINI DAR LEO

 Kamera ya Mtaa kwa Mtaa yanasa muendesha Bajaji akivunja sheria kwa kupita pasipo ruhusiwa kupita, hii ni pamoja na kuharibu miondo mbinu ya Barabara ya  mabasi yaendayo haraka ya Morogoro (Strabag) jijini Dar es Salaam.Madereva wa magari haya mambayo yameshindwa kupishana kwa usahihi  wakielewana mara baada ya kugongana leo katika Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam, kama walivyonaswa na kamera ya Mtaa kwa Mtaa.Mchana huo marekebisho ya hali ya tumbo yakiendelea katika sehemu ya chakula...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND APAGAWISHA WATOTO LEADERS CLUB

Diamond akitoa zawadi kwa mshindi wa nne(katikati). Diamond akiwa na washindi kutoka kushoto ni Rama na wa pili kutoka kushoto ni Hamisi wote ni wanafunzi wa darasa la nne ambao atawasomesha kuanzia darasa la nne mpaka watakapomaliza elimu ya shule ya msingi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani