Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA ANGA LA UPANGA,MNAZI MMOJA NA KARIAKOO MCHANA WA LEO


Pichani ni Mwonekano wa Anga la DSM maeneo ya fire,Mnazimmoja na Upanga.Picha na Sanga festo wa www.sangafesto.blogspot.com

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TASWIRA KATIKA SIKU YA MWISHO YA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM LEO

 Msanii maarufu wa ngoma za utamaduni Mfalme Siboma akiwa katika banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa alilotembelea katika siku ya mwisho ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni wafanyakazi katika banda hilo Wadau wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wakijidai na vyeti vyao vya ushiriki katika siku ya mwisho ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni...

 

11 years ago

Michuzi

KIKWANGUA ANGA KIPYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM

Kikwangua anga kipya katika barabara ya Lumumba na pembeni mwa Busatani ya Mnazi Mmoja garden jijini Dar es salaam ambalo limelipiku jengo konge la Ushirika (juu kulia) ambalo miaka ya nyuma ndilo lilikuwa linaongoza kwa urefu jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Baraza la ushauri la watumiaji usafiri wa Anga TCAA-CCC washiriki kikamilifu wiki ya Utumishi wa Umma Mnazi Mmoja Dar

048A2694

Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC)wakitoa huduma kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda hilo leo.

Kikosi kazi cha Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) wakiwa tayari kutoa huduma kwa wageni mbalimbali watakaotembelea banda hilo katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Athuman Bakari, Aziza Tamim na Debora Mligo.

Katibu Mtendaji wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mzee Mwinyi atembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCC) kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru yanayoendelea Mnazi Mmoja

DSC_0106

Rais  mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassani Mwinyi  akimsikiliza kwa makini Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Charles Chacha wakati alipotembelea katika banda la Mamlaka hiyo  katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

03

Rais Msaafu wa awamu ya pili Ali Hassani Mwinyi akikabidhiwa nyaraka na Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Charles Chach, zenye ujumbe wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BARAZA LA USHAURI LA WATUMIAJI USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC WASHIRIKI KIKAMILIFU WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM

Kikosi kazi cha Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) wakiwa tayari kutoa huduma kwa wageni mbalimbali watakaotembelea banda hilo katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Athuman Bakari, Aziza Tamim na Debora Mligo. Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC)wakitoa huduma kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda hilo leo.
 Katibu Mtendaji wa Baraza...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA YA KARIAKOO LEO KUELEKEA SIKUKUU YA IDD EL-FITRI

  Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kutafuta mahitaji kuelekea sikukuu ya kuhitimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mzigo ukishushwa tayari kwa kuuzwa.Msongamano wa magari  katikati ya kariakoo jijini Dar es Salaam.Hapa ni hatari zaidi kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam maeneo ya mtaa wa Congo.Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
 KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Dewji Blog

TANGO kuwa na mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja leo kujadili malengo ya SDGS

DSC_0589

Meneja wa sera na ushirikishaji wa TANGO, Zaa Twalangeti, akizungumza na Modewjiblog kwenye mahojiano maalum yaliyofanyika katika ofisi za TANGO jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa kitaifa wa Mtandao wa Asasi zisizo za kiserikali za haki za binadamu kusini mwa Afrika(SAHRINGON), Bi. Martina Kabisama.

Na Mwandishi wetu

ASASI isiyokuwa ya kiserikali ya TANGO imezindua kampeni kubwa ya kuelimisha umma wa Tanzania kuhusu malengo 17 ya maendeleo endelevu kwa lengo la kuyafanya kumilikiwa...

 

11 years ago

Michuzi

DKT BILALI AONGOZA SWALA YA IDDI KITAIFA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM LEO

 Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal (nyuma ya Shehe anayeswalisha) akijumuika na waumini wa Kiislamu kwa Swala ya Iddi Kitaifa iliyofanyika katika Bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam asubuhi ya leo.Sehemu ya waumini wa Kiislamu katika Swala ya Iddi Kitaifa iliyofanyika katika Bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam asubuhi ya leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani