Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA MTANANGE WA YANGA NA MTIBWA

 Beki wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi akimdhibiti beki wa Yanga, Mbuyu Twite.Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akichuana na beki wa Mtibwa Sugar,  David Luhende wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0. Kocha wa Yanga, Hans Pluijm akitoa maelekezo kwa wacherzaji wakei.
Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akichuana na kipa wa Mtibwa Sugar, Said Mohamed wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya soka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA MGAMBO JKT YANGA YASHINDA 2-0 TAIFA

Mashabiki Yangawakishangilia ushindi wa goli 2 huku wakionyesha vidole viwili juu katika mtanange wale Taifa kati ya timu ya Mgambo JKT kutoka Tanga na Yanga ya Dar es Salaam na timu ya Yanga kuibuka na pointi zote 3 baada ya kuifunga timu hiyo ya wagosi wa kaya kwa bao 2-0.Ni raha tu kama wanavyoonekana mashabiki wa Yanga walioshuhudia timu hiyo ilipoibanjua Magambo JKT  kwa bao 2-0 kwa mechi iliyochezewa uwanja wa Taifa.Kipa wa Mgambo JKT, Said Lubawa, akilalamika baada ya Msuva kuutundika...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0

 Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa (17) akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius wakati wa mtanange wao wa Ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kufanika hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika hivi punde na Yanga wanaongoza kwa Bao 1-0 lililotiwa kimiani na Mrisho Ngassa,dakika ya 15 ya mchezo kipindi cha kwanza.  Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius akijiandaa...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akiwatoka mabeki wa timu ya Komorozine ya nchini Comoro wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga inaongoza kwa Bao 2-0.  Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akichuana vikali na Beki wa Timu ya Komorozine ya nchini Comoro,Ahmad Houmadi (5) wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa...

 

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA SIMBA VIKOSI VYATAJWA

KIKOSI CHA YANGA
Deogratius Munisi "Dida" Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub "Cannavaro" Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Hassan Dilunga, Haruna Niyonzima, Genilson Santos "Jaja", Mrisho Ngasa, Andrey Coutinho.


BENCHI LA AKIBA
Juma Kaseja, Salum Telela, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Hamis Kiiza na Jerson Tegete.


KIKOSI CHA SIMBA
Manyika Peter, William Lucian, Mohamed Husseni, Hassan Shaka, Joseph Owino, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Said Ndemla, Elias Maguri, Amri Kiemba na Emanueli Okwi

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja

Alikiba na Jokate Mwegelo waligeuka kuwa kama kumbi kumbi weekend hii baada ya kuungana pamoja kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Alikiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa Jokate ambaye anaonekana kuwa ni shabiki wa Yanga iliyoibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi […]

 

5 years ago

CCM Blog

MTANANGE WA YANGA NA JKT TANZANIA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

 Shabiki wa Yanga akifanya minjonjo yake kushangilia Yanga kusawazisha bao dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu  uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma . Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
 Wana Yanga wakifurahia  bao la kusawazisha lililofungwa na Patrick Sibomana
 Bao la kuswazisha lililofungwa na Sibomana
 Wachezaji wa Yhanga wakishangilia
 Ni furaha iliyoje kwa wana Yanga hao wakiongozwa na mtoto anayepuliza katarumbeta

 

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA ETOILE DU SAHEL YA TUNISIA UWANJA WA TAIFA


Goli la kwanza la Yanga katika DK ya 2 tu ya mchezo lilifungwa kwa njia ya penati baada ya Msuva kufanyiwa madhambi ndani ya 18. Na naodha wa Yanga Canavaro akakwamisha wavuni mpira huo kama unavyoona golikipa Etoile akipishana nao na kudaka upepo.

Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani