TASWIRA ZA MTANANGE WA YANGA NA MTIBWA
Beki wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi akimdhibiti beki wa Yanga, Mbuyu Twite.
Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akichuana na beki wa Mtibwa Sugar, David Luhende wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0.
Kocha wa Yanga, Hans Pluijm akitoa maelekezo kwa wacherzaji wakei.
Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akichuana na kipa wa Mtibwa Sugar, Said Mohamed wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya soka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1W3ZFRx2hlA/VF5BbS-z_ZI/AAAAAAAAMy4/h_M0h26rGOs/s72-c/dude.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MGAMBO JKT YANGA YASHINDA 2-0 TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1W3ZFRx2hlA/VF5BbS-z_ZI/AAAAAAAAMy4/h_M0h26rGOs/s640/dude.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j8T4X8DP1gY/VF5BedmxDwI/AAAAAAAAMzA/9tPo0kE56Bc/s640/oya2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f01I2iK7OF8/VF5CRHWEF3I/AAAAAAAAMzQ/6feQBGoM3DY/s640/LALAMA.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s72-c/MMG20203.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s1600/MMG20203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y_TcBJBhQDU/UvY47X4fZFI/AAAAAAAFLvo/2my7ZRqMF4w/s1600/MMG20165.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/s6FOf8W4TCY/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MTANANGE WA YANGA NA SIMBA VIKOSI VYATAJWA
![](http://udakunews.com/wp-content/uploads/2014/09/simbayanga.jpg)
Deogratius Munisi "Dida" Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub "Cannavaro" Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Hassan Dilunga, Haruna Niyonzima, Genilson Santos "Jaja", Mrisho Ngasa, Andrey Coutinho.
BENCHI LA AKIBA
Juma Kaseja, Salum Telela, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Hamis Kiiza na Jerson Tegete.
KIKOSI CHA SIMBA
Manyika Peter, William Lucian, Mohamed Husseni, Hassan Shaka, Joseph Owino, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Said Ndemla, Elias Maguri, Amri Kiemba na Emanueli Okwi
9 years ago
Bongo528 Sep
Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja
5 years ago
CCM BlogMTANANGE WA YANGA NA JKT TANZANIA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bj6P4ypYdqM/VTJ6QgOE7wI/AAAAAAADi2s/ym6qVIMt-U0/s72-c/1.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA ETOILE DU SAHEL YA TUNISIA UWANJA WA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-bj6P4ypYdqM/VTJ6QgOE7wI/AAAAAAADi2s/ym6qVIMt-U0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mxpxwUnDQRE/VTJo32JQWPI/AAAAAAAHR2A/ECgoVJ7jHHo/s640/MMGL0520.jpg)
Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10